lord mwendokasi
Member
- Jun 14, 2016
- 40
- 38
domo is better rapper than fid q
Kazi yangu ni kuelewa ulichoandika hicho ulichomaanisha kitakuwa kiherehere, punguza hasira nani kamwambia unaimba taarabu? Mzungu vepeeElewa nlicho maanisha usikurupuke siimbi taarabu
Really [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Jamaa akihamia kwenye Rap Marapper wote lazima wafe njaa tu
Pumbavu kabisa wcbHuuMchezooooo.......malizia
Hahaaaa" vote for Olamide .. "Oya shikiti BOBOO" jamaa anajua sanaPumbavu kabisa wcb
Ndio nini?
Yoh Sura mizengo ila bonge la bishoo/
Hahaha Jamaa anataka akifa asiwe amebakisha vitu,Huyu mtu sifa sasa yaani anatumia wakati wake ipasavyo katoa Kidogo hatujakaa sawa katoa iki kiremix kifupi mara salome sahv tena remix tena muendekezo
Haya hongera bro ukipata tumia tu
Hahaha Jamaa anataka akifa asiwe amebakisha vitu,Huyu mtu sifa sasa yaani anatumia wakati wake ipasavyo katoa Kidogo hatujakaa sawa katoa iki kiremix kifupi mara salome sahv tena remix tena muendekezo
Haya hongera bro ukipata tumia tu
Achakudanganya watu mkuu beef ndio kila kitu check hata mastaa wa mbele beef daily na raia wanawafuatilia kwenye social media kujua nini ninini watu huwa wanatengeneza beef ili kumake dollars. Soma alama za nyakati..... We ujiulizi y sasa hivi mond na kiba ndio wanamake headline kila kuchwao.... Utakuta wenyewe wako poa tu but kwa 7bbu za kibiashara wanafanya hayo mambo ili waendelee kuzungumziwa kwenye social media. I hop umenielewa mkuu so hayo ni mambo ya kawaida kibongo bongo bila skendo huwezi pata umaarufu fikilia wema sepetu katengeneza jina ndani na nje ya nchi kupitia skendo za kubadilisha mabwana tu leo ukitaj jina la wema anafahamika kuliko mjumbe wako wa serikal za mitaaMSANII AKIANZA BEEF JUA NDO ANAPOTEA KWENYE GAME
Shorty what you want? Shorty what you need? My niggas run the game, we ain't ever leavin' Countin' up this money, we ain't never sleepin' You got V12, I got 12V Got bottles, got weed, got molly I'm all the way upThat's my jam right there.
I'm feelin' Remmy Ma when she spits...
I'm that nigga on Viagra dick
That means I'm all the way up
And you can stay up
P.O.s say I can't get high
Hopped in the helicopter Uber and said...
Go all the way up
Go all the way up
Yeah kajizungumzia yy kuwa ana sura ya pinda but ni bonge la bishooHiyo sura mizengo ila bonge la bishoo nadhani atakua amejizungumzia mwenyewe