Diamond Platnumz ameonesha 'lack of professionalism' kwenye hili

Em tafuta kifungua kinyWa kwanza, Easy easy.
 
Athari za hilo alilofanya ni zipi Inno? Pengine sisi hatukuelewi.
 
Utakufa na chuki
 
Oyooooooo goma limefia town maana nasumbuka na habari za michezo sana na magazeti, kitenge na zembwela ni kiburudiasho tosha sana.

Tajiri hana chuki kwa mtu maskini, ila maskini ana chuki kwa tajiri
Diamond na Kusaga sio matajiri bana..wangekuwa matajiri wangenunua mansions Masaki(6B minimum) mawazo tu
 
Msanii kuwagawa watu kisiasa ni kujipunguzia fanbase.
 
Diamond na Kusaga sio matajiri bana..wangekuwa matajiri wangenunua mansions Masaki(6B minimum) mawazo tu

Kumbe ww unajua matajiri ni leizer tu ?

Kwa hiyo wapo kundi gani kati ya maskini/ tajiri achana na ma trillionea akina MO,

Kwa tanzania Mond na kusaga ni matajiri achana na story za vijiweni
 
Mkuu fungua yako upeleke Tanga huko. Mwanaume wa Tanga umeumia sanaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Look kid ukianzisha radio yako utafanya unayoyafanya ila for now let me do what I think it's right for my radio
Tchao
 
We unataka wafanyaje, au kipi kinakukera! Mi naona kila mtu ashinde mechi zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…