Sugar dady
Senior Member
- Dec 6, 2018
- 131
- 194
HahahahhaDuuuh kumbe kwanza yeye kaona Mwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahhaDuuuh kumbe kwanza yeye kaona Mwanza
Alitaja frequency lakini mdau mmoja ninayemfahamu anakaa Mwanza akasema sasa anaisikia Wasafi FM kupitia hiyo frequency aliyotaja Mondiwapi amesema amewasha mwanza???
Professionalism mzee, hiyo ilikuwa Ni type errorLack of whaaat?
Hiyo frequency aliyotaja inasikika Mwanza mzeeBado hajataja mkoa bana ndo kesho atasema
Kwa kiswahili hii sentensi ingekuaje mkuu??Lack of professionalism...sio lack of professional
Tumia lugha yetu adhimu ya Kiswahili kama kiingereza kinasumbua.
Jamaa kaona pameandikwa 'kwanza' kajua ni 'mwanza' 🤣🤣🤣Hii 104.1 huku mwanza mbona sisikiii chochote
Jamaa kaona pameandikwa 'kwanza' kajua ni 'mwanza' [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ExactlyKuhusu mkoa wewe unaweza piga kura lkn wao wakawa wanaangalia biashara zaidi.
Mikoa kama Mwanza na Arusha kibiashara ipo vizuri.Huwezi jua hata makampuni wanataka matangazo yao yasikike mikoa hiyo.
Mzee Ni type error jikite kwenye hojaLack of professional [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona unacheka?🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣