Diamond platnumz ameshinda tuzo mbili afrimma

Diamond platnumz ameshinda tuzo mbili afrimma

Pia hakuna wawakilishi?..ameenda mwenyewe ama?maana ni zaid ya saa 2 sasa tunasubiria haters waone pics.....kuna mtu aliahidi kuny.a posta hadi mwenge...naomba ajitahd kula mda huuuu

Na mimi nikamshauri kama ni really hater kuhusu diamond kupokea hizo tuzo asinye posta mpaka mwenge pafupi mno atakua mzembe angekunya makumbusho mpak gongolamboto via tandale uzuri hapo atakua amejitendea haki
 
huyo kiba atasubir sana!! mwenzie ndomo anajikusanyia tuzo. yy amekalia tu majungu. mamaee

Grand PA

Mswahili yule kakalia majungu tuu mwenzie anapiga kazi diamond wakuache miaka buku
 
Aaaa si na we muongelee jide,mi namuongelea domo wapi jobless mwenzetu Warumi leo atajibeba hakuna davido hapaa teh teh

Mimi wote nawapongeza jobless mwenzangu,warumi kama nilimuona sehemu fulani humu jukwaani.
 
Watanzania.ni wabinafs sana na hatupend maendeleo ya wenzetu...mtu hakuhusu na amefika apo kwa juud zake ww unaumia nini?...snsn ametangaza jina la nchi,mpia hamuez bac mzikii.mpeni suport

Kweli rafiki watz wabinafsi sana na wanafki sana., big up platinum mungu afungue njia Kwa wengine
 
Kuna friend yangu mghana juzi kati akawa anaiambia jinsi anvyomkubalika diamond video zake na nyimbo zake na jinsi anavovaa, So big up diamond kazi zako zinakubalika beyond borders of tz.
 
Kwenye hizo tu walisahau:

Best wedding song: Kimasomaso- Ali Kiba ( Tanzania).
 
Aaaa si na we muongelee jide,mi namuongelea domo wapi jobless mwenzetu Warumi leo atajibeba hakuna davido hapaa teh teh

Dina binamu ana cha kujitetea kuwa diamond kashinda kwa East Africa na davido si kashinda kwa West Africa (so hawakuwa category moja) na pia davido ndo Artist of the year so kawakimbiza tu. Hahahaha namsubiri binamu angu aje hapa, na hivi siku hizi anachamba hadi kwa kiingereza. Kudos to diamond and komandoo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwenye hizo tu walisahau:

Best wedding song: Kimasomaso- Ali Kiba ( Tanzania).

Hii ni comment kama sikosei ya 5 ktk threads tofauti umeikomalia kimasomaso,mbona husemi mwana dsm?umepanick wewe si bure
 
Mimi sijawah nunua cd ya diamond wala kuudhuria show yake yeyote...nampenda msanii yeyote atakaeweza kuipeperusha vema bendera ya tanzania.....izo hela ni zake na familia yake...huu wivu cjui unatoka wapi...only in tz

Bendera ya nchi, then what? Wee ndo unajiona una uchungu na bendera wakati nchi yenyewe inatafunwa na wengine, chapa mwendo huko!
 
Mbona Jide kabeba kirahisi tu...Domo banah utamakiza vijicent vyako kununua promo ... Ila nakuhakikishia kwa kinyonga utasubiri sanaaa na hivyo vituzo vyako koko!!!!!!
 
Kuna friend yangu mghana juzi kati akawa anaiambia jinsi anvyomkubalika diamond video zake na nyimbo zake na jinsi anavovaa, So big up diamond kazi zako zinakubalika beyond borders of tz.

Unamzungumzia yule mghana dereva wa bodaboda pale tandale kwa tumbo? halafu kile kiflash kajaza nyimbo zote za domo...hawa wakimbizi banah!!!!
 
Unamzungumzia yule mghana dereva wa bodaboda pale tandale kwa tumbo? halafu kile kiflash kajaza nyimbo zote za domo...hawa wakimbizi banah!!!!

Jamaniii mwee swaumu kalii nashindwa kuchekaaaa taratibu
 
Hii ni comment kama sikosei ya 5 ktk threads tofauti umeikomalia kimasomaso,mbona husemi mwana dsm?umepanick wewe si bure

Patia picha we ndo msanii unasoma comment za watu aiseee kama una moyo mdogo huimbii jumlaaa unaziraa
 
Back
Top Bottom