Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Boss mambo mengine kaa pembeniHivi uligombana nini na mshana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss mambo mengine kaa pembeniHivi uligombana nini na mshana?
Upo sawaAlikuwa mchepuko wake akapigwa chini baada ya Mshana kuokoka na kuacha uchawi.
Sawa Boss. Nikiona comment yako nyingine nitafunga jalada lako.Boss mambo mengine kaa pembeni
Dogo ni mshamba mno yaani ushamba kwao ni chakula mpaka wanakera.Naomba kujua nini kibaya Diamond Platnumz anakosea tofauti na wasanii wengine?
Nini afanye ili iwe sawa naonaga watu wanamshambulia ila sijawahi sikia mtu yeyote akisema makosa anayofanya tofauti na watu wengine?
ya harmo nae kuachia siku moja na simba mbona mnashangilia? au yeye hapaswi kuchukiwaMdomo(Sio umbile).. kuongea ongea vijembe... Uswahili mwingi.. kujitapa.. kuchukia Watanzania wenzie(wasanii)
Nitoe mfano mdogo.. last week King Kiba kaachia Ndombolo.. this week kaachia Salute... Mond kaona hapana, haiwezekani watawale anga la mziki ngoja na yeye atoe kamata!
Sasa haya yote na Mambo mengine yasiyoelezeke yanafanya watu tuwe na roho ya korosho juu yake!!
Hatuchukii mziki wake.. He is super talented.. ila ule UTANDALE unamgharimu!!
Harmo kaachia wimbo gani Tena?ya harmo nae kuachia siku moja na simba mbona mnashangilia? au yeye hapaswi kuchukiwa
Kuna jamaa mmoja anajiita mwanaharakati kule twita aliulizwa swali kama hili badala ya kutoa majibu akaishia kula kona.Sifa kama zipi na mdomo kivipi ebu elezea?
Umeandika upuuzi mtupu, yaani msaani X hatakiwi kutoa wimbo wake kwa sababu msanii Y ametoa wimbo, hii akili ya wapi hii ?Mdomo(Sio umbile).. kuongea ongea vijembe... Uswahili mwingi.. kujitapa.. kuchukia Watanzania wenzie(wasanii)
Nitoe mfano mdogo.. last week King Kiba kaachia Ndombolo.. this week kaachia Salute... Mond kaona hapana, haiwezekani watawale anga la mziki ngoja na yeye atoe kamata!
Sasa haya yote na Mambo mengine yasiyoelezeke yanafanya watu tuwe na roho ya korosho juu yake!!
Hatuchukii mziki wake.. He is super talented.. ila ule UTANDALE unamgharimu!!
Tangu mzee Maria na Miss Kigogo wameanza kumshambulia kule twita wakisaidiwa na wafuasi wao umewahi kuona Diamond akiwajibu chochote ?Ajishushe..!! Apige kazi bila maneno.. ajinyenyekeze...
Yeye ni Star. Iko hivyo.. na itabaki hivyo, hahitaji kushindana au kujibizana na watu ili tuamini Kama he is great.. Akijushusha tutampenda na tutampandisha.. akijifanya Mungu mtu Tutamchukia na Kumshusha. .
Afanye mziki.. aimbe good music atakua juu tu.
Hebu Andika AKILI TUPU tuone.Umeandika upuuzi mtupu, yaani msaani X hatakiwi kutoa wimbo wake kwa sababu msanii Y ametoa wimbo, hii akili ya wapi hii ?
Jibu maswali yake.Someni comments za mtoa uzi utagundua ana matatizo sana huyu mtu muachieni tu uzi wake..
Humjui Mond vizuri Bro!Tangu mzee Maria na Miss Kigogo wameanza kumshambulia kule twita wakisaidiwa na wafuasi wao umewahi kuona Diamond akiwajibu chochote ?
Haki haupewi kama zawadi, ni lazima uipiganie, sasa nyinyi wanaharakati uchwara mnapiga makelele mitandaoni huku mkikutana face to face na mnaowapigia kelele mnaishia kujikesha chekesha tuMimi binafsi siwezi ingia barabarani kwani naamini tofauti na hilo. Lakini watu hawakuingia barabarani baada ya vitisho kutolewa waziwazi dhidi yao. Ondoa vitisho ili upate jibu sahihi.
Nakushauri uwe muumini wa Tanzania yenye ustawi wa jamii na siyo ustawi wa vyama.
Kama wewe unaishi kwa kulamba viatu vya watu huwezi kuelewa na vizazi vyako vitakuja kulamba viatu vya watu.
Mimi nawafundisha wanangu kujitegemea.
Za kishindoooJamaniii maskiniii kura 3
Kosa kubwa alilofanya Mondi kuwa karibu na Bashite...na Roma alivyotekwa akatoa kawimbo kake nikae kimya huku akidharau vijana wanaozunguka barabarani na bahasha wakitafuta kazi ..mbaya zaidi aliposema yeye ni kada wa CCM wakati 90% ya vijana hawapendi CCM..alitakiwa akafanye kampeni Kama mwanamuziki mfanya biashara sio kusema nafanya kampeni hata bure...Kweli ila natamani kujua anachokosea tumuhukumu kwa haki
sandakalaweHarmo kaachia wimbo gani Tena?