Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 968
- 2,034
Sababu kubwa ni umaarufu na mafanikio yake ndo vinavyowasumbua wengi
Umaarufu na mafanikio ya diamond yanawapa hasira sana watu ya kujiuliza kwanini wao wanashindwa kuwa km yeye? Wanachoamua kufanya ni kumchukia tu, hapo hakuna namna zaidi ya hilo la kudis kila akifanyacho
1. Wanaharakati na wanachadema watakwambia aliungana na hayati kuwakandia. Lakini ukiangalia hakuwa pekeake, wasanii karibia wote na hata viongozi walikuwepo. Sasa kwanin yeye pekeake apopolewe mawe? Unakuta sababu ni umaarufu wake wa kuweza kuishawishi hadhira ambayo hamna mtu yeyote (hata wakiungana) anayeweza kumfikia. Hapo chuki lazima izaliwe
2. Wasanii wenzake wanamchukia sababu zikiwa ni zile zile, umaarufu na mafanikio ambayo wao hata wakihangaika vipi hawayapati, Na wakienda kwake awasaidie wanataka miteremko bila kufanya kazi.. Hapo ndo utasikia jamaa mbinafsi, ana dharau, nk
Kwa sisi tuliobaki tunafata mikumbo tu ya makundi hayo mawili na ukichanganya na umackin wetu ndo boboboooh! tutamchukia hadi mishipa ya shingo itusimame
Umaarufu na mafanikio ya diamond yanawapa hasira sana watu ya kujiuliza kwanini wao wanashindwa kuwa km yeye? Wanachoamua kufanya ni kumchukia tu, hapo hakuna namna zaidi ya hilo la kudis kila akifanyacho
1. Wanaharakati na wanachadema watakwambia aliungana na hayati kuwakandia. Lakini ukiangalia hakuwa pekeake, wasanii karibia wote na hata viongozi walikuwepo. Sasa kwanin yeye pekeake apopolewe mawe? Unakuta sababu ni umaarufu wake wa kuweza kuishawishi hadhira ambayo hamna mtu yeyote (hata wakiungana) anayeweza kumfikia. Hapo chuki lazima izaliwe
2. Wasanii wenzake wanamchukia sababu zikiwa ni zile zile, umaarufu na mafanikio ambayo wao hata wakihangaika vipi hawayapati, Na wakienda kwake awasaidie wanataka miteremko bila kufanya kazi.. Hapo ndo utasikia jamaa mbinafsi, ana dharau, nk
Kwa sisi tuliobaki tunafata mikumbo tu ya makundi hayo mawili na ukichanganya na umackin wetu ndo boboboooh! tutamchukia hadi mishipa ya shingo itusimame