Diamond Platnumz amewakosea nini wanaomshambulia?

Diamond Platnumz amewakosea nini wanaomshambulia?

Diamond kashampiga sana vijembe Kiba ndugu halafu em nikumbushe mimi lini diamond alitoa nyimbo then labda kesho yake kiba nae akatoa ila diamond alishafanya ivyo kwa zaidi ya nyimbo 5 za kiba na target amshushe kiba kwenye trending...

Diamond kafanikiwa kuliko kiba lkn yeye ndiye anayeteseka nadhani anafikiri ukubwa wa mziki wake ungemfanya watu wote tanzania wamshabikie yeye kitu ambacho hakiwezekani sasa anachoamua ni kuharibia watu ili kukomoa lkn Mungu nae ni wa wote watu bado wanatoa ngoma na zina hit...
Kama kijembe gani ambacho amewahi kumpiga
 
Diamond kashampiga sana vijembe Kiba ndugu halafu em nikumbushe mimi lini diamond alitoa nyimbo then labda kesho yake kiba nae akatoa ila diamond alishafanya ivyo kwa zaidi ya nyimbo 5 za kiba na target amshushe kiba kwenye trending...

Diamond kafanikiwa kuliko kiba lkn yeye ndiye anayeteseka nadhani anafikiri ukubwa wa mziki wake ungemfanya watu wote tanzania wamshabikie yeye kitu ambacho hakiwezekani sasa anachoamua ni kuharibia watu ili kukomoa lkn Mungu nae ni wa wote watu bado wanatoa ngoma na zina hit...
Watu wote sisi zaidi ya watanzania mil 80 kwa makadirio wote hatuwezi kupenda mziki wake sisi wengine msanii wetu Bora ni Alikiba na nyie na uyo bigi wenu Ivo Ivo kwaio kuleta ujinga wa kutulazimisha tufikiri Kama nyie Ni kutukosea heshima
 
Kelele kama zipi na sifa za kijinga kama zipi ambazo wasanii wote duniani hawafanyi
Ni sawa na wewe unaendesha gari hovyo barabarani na kukiuka sheria za barabarani kwenye mataa unavuka hata kama taa haziruhusu.

Polisi anakuandikia faini we unasema "hampaswi kunitoza faini raia mwema kama mimi ambaye natoa hadi kodi.

wakati huko mitaani kuna majambazi na vibaka wenye kuua watu ambao mlipaswa kudili nao na kuacha kunisumbua raia mwema kama mimi"

Kwa kweli wahalifu wanaweza wakawepo lakini haiondoi maana kua huja kosea.

Ni kweli wapo wasanii wengi wenye sifa za kijinga, lakini hilo ni swala jingine.

Hoja ya msingi ni je ni kweli jamaa ana hizo tabia kweli au ana onewa?
 
Kama kijembe gani ambacho amewahi kumpiga
Nilijua huwezi jua vijembe vya diamond kwa kiba kama mimi nilivyokuwa sijui kiba alimpiga diamond vijembe gani kwenye hiyo interview
 
Anachukiwa na watu was BAWACHA kiss alikuwa bega kwa bega na Magufuli.
 
Watu wote sisi zaidi ya watanzania mil 80 kwa makadirio wote hatuwezi kupenda mziki wake sisi wengine msanii wetu Bora ni Alikiba na nyie na uyo bigi wenu Ivo Ivo kwaio kuleta ujinga wa kutulazimisha tufikiri Kama nyie Ni kutukosea heshima
Ali kiba ana legacy yake kwenye mziki wa bongo fleva Diamond hata akaimbe mwezini na Michael Jackson,ashinde na Grammy hawezi poteza legacy ya Kiba
 
Mdomo(Sio umbile).. kuongea ongea vijembe... Uswahili mwingi.. kujitapa.. kuchukia Watanzania wenzie(wasanii)

Nitoe mfano mdogo.. last week King Kiba kaachia Ndombolo.. this week kaachia Salute... Mond kaona hapana, haiwezekani watawale anga la mziki ngoja na yeye atoe kamata!

Sasa haya yote na Mambo mengine yasiyoelezeke yanafanya watu tuwe na roho ya korosho juu yake!!

Hatuchukii mziki wake.. He is super talented.. ila ule UTANDALE unamgharimu!!

Mkuu umeongea ki shabiki
Ila hebu turud nyuma
Kama tunaongea tuongee kwa wote sio yeye pekee
Inamaana diamond pekee ndio kaachi nyimbo kwasasa?
Lakini pia muzik ni biashara
Music sawa na wamachinga
Huwez kuuza kitu ambacho kimepotea kwenye raman
Diamond na hat wasanii wote huangalia upepo na sio wanatoa tu kama nguo
 
Mdomo wake na sifa zinamponza!!
Wasanii krb wote sifa kwao ndio kipaumbele,mwangalie dogo was nanjilinji kwa sifa,waangalie wasanii hata wakina marioo,tatizo sifa za mondi zinao ekana kuleta athari zaidi kwakua yy anafatiliwa na wengi zaidi,ila sifa ni mtindo was wasanii wengi sana,inabidi dogo mondi nae ajifunzage sasa,kwa cku za hv karibuni amekua mtu wa kupiga kimya na kupotezea sana,nadhani amekua sasa na ametuelewa wabongo hatutaki hivyo,ila sasa hao wanaojiita machawa ndio wanamuharibia jumla,yaani yy mondi haongei ila jibu likitolewa na chawa wake kina bb levo,cjui jlokole,cjui diva,cjui Aristotle,Mara cjui issa azam Mara cjui nani sisi tunajua ni jibu LA kampuni nzima na nimaelekezo kutoka kwake,vi nginevyo yy anatakiwa awakanye hao machawa waache kuongea hovyo na kujisifi,machawa kila mahali bwana??,...mwishowe ataitwa mondi machawaaa.......
 
Watu wote sisi zaidi ya watanzania mil 80 kwa makadirio wote hatuwezi kupenda mziki wake sisi wengine msanii wetu Bora ni Alikiba na nyie na uyo bigi wenu Ivo Ivo kwaio kuleta ujinga wa kutulazimisha tufikiri Kama nyie Ni kutukosea heshima
Mimi si diamond wala alikiba wala harmonize naye mkubali kimziki, almost bongo fleva yote sina msanii naye mkubali (labda kwa uchache sana)

Ila kitabia na kimwenendo nina wasanii wengi sana bongo fleva nao wakubali

Sio diamond tu ambaye simfagilii, kunaye huyu anajiita nikki wa pili aisee acha tu

Sasa watu wakiona namdis niki wa pili sijui watatumia hoja gani kama defense, sijui watasema nina wivu na mafanikio yake? Mafanikio gani, mbupu au?
 
Ni sawa na wewe unaendesha gari hovyo barabarani na kukiuka sheria za barabarani kwenye mataa unavuka hata kama taa haziruhusu.

Polisi anakuandikia faini we unasema "hampaswi kunitoza faini raia mwema kama mimi ambaye natoa hadi kodi.

wakati huko mitaani kuna majambazi na vibaka wenye kuua watu ambao mlipaswa kudili nao na kuacha kunisumbua raia mwema kama mimi"

Kwa kweli wahalifu wanaweza wakawepo lakini haiondoi maana kua huja kosea.

Ni kweli wapo wasanii wengi wenye sifa za kijinga, lakini hilo ni swala jingine.

Hoja ya msingi ni je ni kweli jamaa ana hizo tabia kweli au ana onewa?
Mi sijui we unaona anazo zipi zitaje anawezekana hata yeye hajui kama ni tabiambaya mbaya pengine
 
Nilijua huwezi jua vijembe vya diamond kwa kiba kama mimi nilivyokuwa sijui kiba alimpiga diamond vijembe gani kwenye hiyo interview
Akuna sehemu nimemtaja alikiba mi nachotaka kujua wapi diamond anakosea kama msanii
 
Hakuna mtanzania aliyefanikiwa kama au kuliko Diamond???
Kwanini iwe yeye??
mimi binafsi huwa namkubali sana lakini kwa swala la kuungana na wadhalimu alinikwaza sana kiasi huwa simpigi vijembe lakini pia simtetei.
Je ni yeye peke yake kwanii yeye tu na walikua wasanii wengi?
 
Akuna sehemu nimemtaja alikiba mi nachotaka kujua wapi diamond anakosea kama msanii
Mbona tangu mwanzo wa uzi wako unajibiwa hilo swali ndo maana hapo nyuma nilikwambia ASIYEJUA MAANA HAAMBIWI MAANA
 
Back
Top Bottom