Diamond Platnumz amewakosea nini wanaomshambulia?

Diamond Platnumz amewakosea nini wanaomshambulia?

kubali kataa Mond baba lao hao wasanii wako watasubiri sana mwisho burundi tu hapo mtabak kulia lia hivo hivo kila siku
Hapo ndipo mashabiki wa domo msipojielewa na mnapojipotezeaga muda humu hivi kuna mtu ktk huu uzi au uzi mwingine wowote hapa jamii forum aliwahi andika msanii fulani ni zaidi ya daimond???
 
Nenda Jamuhuri ya Twitter huko, utakuta mashitaka yake mengi tu.
 
Ndo uelezee kawazuia vipi wasifanikiwe
Nikuelezee mimi na wewe upo hapa hapa kwenye mji huu wa matukio?changamsha ndonga mjini hapa sina mda wa kuandika passages kukuelezea kama hujui sisi tunaojua inatosha..sio lazima yote tujue
 
Nikuelezee mimi na wewe upo hapa hapa kwenye mji huu wa matukio?changamsha ndonga mjini hapa sina mda wa kuandika passages kukuelezea kama hujui sisi tunaojua inatosha..sio lazima yote tujue
Kama umeweza kuandika hiki unashindwa vipi kuelezea ni kwa namna gani kazuia mafanikio?
 
Bro.. me ni fan wa good music.. napenda mziki wa Kiba..mziki wa mond.. Harmonize... Nandy, Ruby Africa, Mbosso, Aslay, Kayumba, Christopher Martin, Alaine, Etana, Tarrus Rirey, Cecile, TOK, Chronixx, Romain Virgo, Ziggy & Damian Marley, Bozzi boziana, Aurus Mabele, Shekito, na wengine woote wanaofanya mziki Mzuri.
Mbona kuna wakati diamond anatoa Ngoma alafu Kiba baadae anatoa mbona Hili uliongelei? Hapa juzi tu katoa Ngoma kesho yake harmonize katoa na yeye ukiachana na hivyo Kiba alifanya interview clouds akitambulisha Ngoma na barnabas karibia interview nzima anampiga majungu mondi au Hili uoni? Me ninavyoona hizo sababu mnazotoa ni zakitoto nyinyi tu kubali mnateseka na mafanikio yake ndio maana mnamchukia
 
bro kwamba kiba akitoa nyimbo basi wasanii wengine pia wasitoe nyimbo mbona akili za kimange hizi mzee na ww n wakushikiwa akili na yule dada mpuuzi embu rudia kusoma ulicho andika sion tofauti na ule utetezi wa yule kibibi
Uyo jamaa yenu hakuna anaemchukia eti kwa sababu amefanikiwa Kama mnavyozungumza kwani mafanikio yake sisi yanatuhusu nini mzee hata awe na hela Kama Jeff benzos atakua yeye Ila anachukiwa kwa sababu ana kelele za kijinga ,misifa ,ushamba mwingi,
 
Uyo jamaa yenu hakuna anaemchukia eti kwa sababu amefanikiwa Kama mnavyozungumza kwani mafanikio yake sisi yanatuhusu nini mzee hata awe na hela Kama Jeff benzos atakua yeye Ila anachukiwa kwa sababu ana kelele za kijinga ,misifa ,ushamba mwingi,
Kelele kama zipi na sifa za kijinga kama zipi ambazo wasanii wote duniani hawafanyi
 
Mdomo(Sio umbile).. kuongea ongea vijembe... Uswahili mwingi.. kujitapa.. kuchukia Watanzania wenzie(wasanii)

Nitoe mfano mdogo.. last week King Kiba kaachia Ndombolo.. this week kaachia Salute... Mond kaona hapana, haiwezekani watawale anga la mziki ngoja na yeye atoe kamata!

Sasa haya yote na Mambo mengine yasiyoelezeke yanafanya watu tuwe na roho ya korosho juu yake!!

Hatuchukii mziki wake.. He is super talented.. ila ule UTANDALE unamgharimu!!
unaijua ratiba yake ya kuachia kazi zake ni ipi, harafu ni sheria number ngapi inamtaka msanii kusubiri kazi ya mwenzake mpaka ifubae ndipo na yeye aachie kazi????
 
Hii hoja ya kipumbavu sana mnapenda kuileta mashabiki wa bigi .Uyo jamaa yenu hakuna anaemchukia kwa ayo mafanikio yake Ila watu wanachukia ujinga wake
Huo ujinga usiosemwa ni upi?
 
Kafanikiwa kumzidi mo?

Mbona watu hawajawahi kuanzisha uzi wala kulalamika kwanini mo dewj anachukiwa?
Hawa watu wanaomshabikia uyo jamaa sijui aliwafanya Nini aisee wanatumia nguvu nyingi Sana kupiga kelele.
 
Mbona kuna wakati diamond anatoa Ngoma alafu Kiba baadae anatoa mbona Hili uliongelei? Hapa juzi tu katoa Ngoma kesho yake harmonize katoa na yeye ukiachana na hivyo Kiba alifanya interview clouds akitambulisha Ngoma na barnabas karibia interview nzima anampiga majungu mondi au Hili uoni? Me ninavyoona hizo sababu mnazotoa ni zakitoto nyinyi tu kubali mnateseka na mafanikio yake ndio maana mnamchukia
Diamond kashampiga sana vijembe Kiba ndugu halafu em nikumbushe mimi lini diamond alitoa nyimbo then labda kesho yake kiba nae akatoa ila diamond alishafanya ivyo kwa zaidi ya nyimbo 5 za kiba na target amshushe kiba kwenye trending...

Diamond kafanikiwa kuliko kiba lkn yeye ndiye anayeteseka nadhani anafikiri ukubwa wa mziki wake ungemfanya watu wote tanzania wamshabikie yeye kitu ambacho hakiwezekani sasa anachoamua ni kuharibia watu ili kukomoa lkn Mungu nae ni wa wote watu bado wanatoa ngoma na zina hit...
 
Back
Top Bottom