Diamond Platnumz amewakosea nini wanaomshambulia?

Diamond Platnumz amewakosea nini wanaomshambulia?

Kweli ila natamani kujua anachokosea tumuhukumu kwa haki
Haina ubishi kuwa tumepitia mfumo kandamizi, mfumo onevu na katili kuliko mifumo yote tangu nchi hii iitwe Tanzania. Kipindi hiki wenye uelewa wasio wapiga pambio waloumizwa sana- UTAKATISHAJI FEDHA, UHUJUMU UCHUMI, UCHOCHEZI, ni baadhi ya makosa yaliyokuwa famous sana kwa wakosoaji wa serikali.
Hii ilikuwa wazi sana.
Kioo cha jamii kilipaswa kureflect vyema kipindi hiki ili kuwaonya wanaopotoka. Walakini yeye alichagua upande wa dhuluma, walioumia wanamnanga sasa, huwezi kuwaambia waache. Sanasana wewe kaa kimya kama yeye alivyokaa kimya kwenye maumivi ya wengine.
 
Kwani wewe, sababu ya yeye kumchukia baba yake ushawahi jua?
Kwahiyo wewe masuala yake binafsi na familia yake unaingilia vipi?

Kwamba wewe ndio unajua ukweli wa Mondi na babaake kuliko Mondi mwenyewe?
 
Kwahiyo wewe masuala yake binafsi na familia yake unaingilia vipi?

Kwamba wewe ndio unajua ukweli wa Mondi na babaake kuliko Mondi mwenyewe?
Wewe mbona umeingilia maswala yangu binafsi kwa kuniuliza sababu zangu zinazonifanya nimchukie diamond?
 
Je ni yeye peke yake kwanii yeye tu na walikua wasanii wengi?
Hao wengine hawajaingia anga hizo.
Wakiingia utaona.
Nimeona majina matatu ya wasanii;
Alikiba
Diamond
Harmonize
Wametajwa katika kudisiwa na jamii.
Hata Nandy sasa ajiandae kupata pingamizi kama hilo.
 
Haina ubishi kuwa tumepitia mfumo kandamizi, mfumo onevu na katili kuliko mifumo yote tangu nchi hii iitwe Tanzania. Kipindi hiki wenye uelewa wasio wapiga pambio waloumizwa sana- UTAKATISHAJI FEDHA, UHUJUMU UCHUMI, UCHOCHEZI, ni baadhi ya makosa yaliyokuwa famous sana kwa wakosoaji wa serikali.
Hii ilikuwa wazi sana.
Kioo cha jamii kilipaswa kureflect vyema kipindi hiki ili kuwaonya wanaopotoka. Walakini yeye alichagua upande wa dhuluma, walioumia wanamnanga sasa, huwezi kuwaambia waache. Sanasana wewe kaa kimya kama yeye alivyokaa kimya kwenye maumivi ya wengine.
Nawe ni wale wale masikini!

Hicho kichaka cha haki mnaonesha jinsi gani mlivyo wajinga!
.
Lisu aliwambia ingieni barabarani mkaufyata sasa mlitaka mondi ndio awasemee?

Simba na Yanga zote wadhamini wao ni ccm mbona sijaona mkijitoa kushabikia hizo timu?

Upumbavu tu,!
 
Haina ubishi kuwa tumepitia mfumo kandamizi, mfumo onevu na katili kuliko mifumo yote tangu nchi hii iitwe Tanzania. Kipindi hiki wenye uelewa wasio wapiga pambio waloumizwa sana- UTAKATISHAJI FEDHA, UHUJUMU UCHUMI, UCHOCHEZI, ni baadhi ya makosa yaliyokuwa famous sana kwa wakosoaji wa serikali.
Hii ilikuwa wazi sana.
Kioo cha jamii kilipaswa kureflect vyema kipindi hiki ili kuwaonya wanaopotoka. Walakini yeye alichagua upande wa dhuluma, walioumia wanamnanga sasa, huwezi kuwaambia waache. Sanasana wewe kaa kimya kama yeye alivyokaa kimya kwenye maumivi ya wengine.
Washindani wake walifanya nini kwanini lawama zote kwake?
 
Wewe mbona umeingilia maswala yangu binafsi kwa kuniuliza sababu zangu zinazonifanya nimchukie diamond?
Kwahiyo unamchukia sababu yeye alimchukia babake?
 
Hao wengine hawajaingia anga hizo.
Wakiingia utaona.
Nimeona majina matatu ya wasanii;
Alikiba
Diamond
Harmonize
Wametajwa katika kudisiwa na jamii.
Hata Nandy sasa ajiandae kupata pingamizi kama hilo.
Nandy show zake zinaendelea hakuna petition wala nini kwanini diamond tu?
 
Hao wengine hawajaingia anga hizo.
Wakiingia utaona.
Nimeona majina matatu ya wasanii;
Alikiba
Diamond
Harmonize
Wametajwa katika kudisiwa na jamii.
Hata Nandy sasa ajiandae kupata pingamizi kama hilo.
Na yeye watu wanamuandama kwa sababu ndiye msanii mwenye ushawishi mkubwa kwa sasa so akifanya jambo yeye linaweza kuleta mabadiliko chanya kuliko akifanya Ben pol,au Snura kwahiyo alipaswa kuwa front kwa namna yake...
 
Nawe ni wale wale masikini!

Hicho kichaka cha haki mnaonesha jinsi gani mlivyo wajinga!
.
Lisu aliwambia ingieni barabarani mkaufyata sasa mlitaka mondi ndio awasemee?

Simba na Yanga zote wadhamini wao ni ccm mbona sijaona mkijitoa kushabikia hizo timu?

Upumbavu tu,!
Mimi binafsi siwezi ingia barabarani kwani naamini tofauti na hilo. Lakini watu hawakuingia barabarani baada ya vitisho kutolewa waziwazi dhidi yao. Ondoa vitisho ili upate jibu sahihi.
Nakushauri uwe muumini wa Tanzania yenye ustawi wa jamii na siyo ustawi wa vyama.
Kama wewe unaishi kwa kulamba viatu vya watu huwezi kuelewa na vizazi vyako vitakuja kulamba viatu vya watu.
Mimi nawafundisha wanangu kujitegemea.
 
Naomba kujua nini kibaya diamond anakosea tofauti na wasanii wengine?

Nini afanye ili iwe sawa naonaga watu wanamshambulia ila sijawahi sikia mtu yeyote akisema makosa anayofanya tofauti na watu wengine

Mkuu kuna uwezekano kuwa haya ni matatizo ya kushindwa kufahamiana tu. Yaani kukosekana kwa mawasiliano mazuri, watu wakatapikiana nyongo zao na kila mtu akaeleza sehemu yake ya hadithi.

Nimshukuru Nigrastratatract binafsi hadi muda mfupi uliopita nilikuwa na mtizamo hasi kuhusiana na anayoyasimamia. Sikujua kumbe naye anataka katiba mpya labda kuliko hata wengi tunavyoihitaji, na mengi mengine yanayostahili kuja na uzi kamili.

Wandugu, tuongee badala ya kutukanana bila ya sababu. Yawezekana hata Elitwege letu sote ni moja 😂😂😂😂!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom