Diamond Platnumz ana nyota ya kupendwa mashabiki wengi kuliko Clouds Media

Diamond Platnumz ana nyota ya kupendwa mashabiki wengi kuliko Clouds Media

Kama hata hujui waliomfikisha hapo Boss wako basi hupaswi si tu kulipwa mshahara wako bali pia humfai kabisa kuwa katika timu yake!
Kijana kafika kwa juhudi zake binafsi, nyimbo nzuri ndio zimemfikisha
 
huyo mtoto wa tandale hafai.. ruge hana hamu nae.. kwanza anaijua hela balaa.. na shule hajaenda
Yaan sjui anggenda shule kama wengine ingekuwaje aisee anaijua hera zaidi ya mchaga.. Radio yake tu imeshaanzq kupata wadhamini matangazo kama yote wakat hata haijaanza kurusha vipindi zaidi ya miziki tu sjuu ikiaanza kurusha vipindi itakuwaje
 
Mkuu kijana yupo vizuri na hao clouds wanamchukia sana kwa sasa acha awanyooshe
Analipiza au japo yy. Mwenyewe huwa anakataa kuwa hajaanzisha media ili kukompea au kuua nyingine yy hajaja kushindana amekuja kutafuta mkate wake ndo anavoadai ila najua ni mjanja sana huyo kijana anajua kabisa atawaua baadhi ya media ila akiilizwa anajibu vizuri wala haonyeshi kuwa na bifu na yeyote yaani jamaa ana akili mpaka anaboa
 
Kijana kafika kwa juhudi zake binafsi, nyimbo nzuri ndio zimemfikisha
Wewe ni bwege kweli!....kwa hiyo angejifungia chumbani na kuimba nyimbo nzuri bila watu kumsapoti kwa kununua, na kwenda kwenye matamasha aliyopo angefika hapo alipo?


Hivi vijana wa siku hizi uwezo wa kuchakata mambo umewapotelea wali?

Shenzi kabisa😀😀😀😀😀
 
Wewe ni bwege kweli!....kwa hiyo angejifungia chumbani na kuimba nyimbo nzuri bila watu kumsapoti kwa kununua, na kwenda kwenye matamasha aliyopo angefika hapo alipo?


Hivi vijana wa siku hizi uwezo wa kuchakata mambo umewapotelea wali?

Shenzi kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu kukosea kwa mmoja acha kujumlisha watu wote unatukosea sana kijana
 
Wewe ni bwege kweli!....kwa hiyo angejifungia chumbani na kuimba nyimbo nzuri bila watu kumsapoti kwa kununua, na kwenda kwenye matamasha aliyopo angefika hapo alipo?


Hivi vijana wa siku hizi uwezo wa kuchakata mambo umewapotelea wali?

Shenzi kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kajambe kule
 
Jana kijana ametua hapa Sumbawanga idadi ya watu waliokuja kumpokea huku wengine wakijaa barabarani ni jibu tosha kuwa kijana ana fan base kubwa sana.

Diamond platnumz kwa sasa hategemei tena redio na tv kujitangaza, kijana anawatumia followes wake 5,400,000 instagram kujitangaza na watu wanamsikia na kwenye show anajaza
Ni 5.6ml.....sio 5.4ml
 
Wabongo kwenye kuhamisha magoli tupo vizuri, mwanzo ilikuwa kila atakachofanya diamond tunamcompare na Kiba asahivi sasa kila atakachofanya tunamfananisha na clouds haahaa...This is Bongo cheza na mdundo Wa ngoja upate ladha yake
 
Naona mnaulazimisha sana ugomvi na clouds, Unafikili diamond anafanya hayo kwa sababu ya ku competit na clouds? Mbona hayo mapokezi alikuwa anayapata tangu enzi hizo shows zake zinaratibiwa na kina ruge? Tatizo la waTanzania kila jambo tunalichukua kwa kushindanisha. Mala ya kwanza ilikuwa ni diamond na alikiba, alikiba kakaa pembeni sasa ni clouds. Bado sijajua wanashindana kwenye nini. Labda mtoa mada utusaidie.
Kinachonifurahisha Wabongo huwa wanalazimisha haya mambo huku wenzao wanapiga pesa!
Ndio hayo unajua kuna bifu mwisho boss wa Clouds ndio anashare nyingi Wasafi tv!
 
Watu wamejaa hapo kwenda kumuona Queen Darleen sio Diamond. Diamond anatembelea nyota ya Wema Sepitu tu.
 
Wewe ni bwege kweli!....kwa hiyo angejifungia chumbani na kuimba nyimbo nzuri bila watu kumsapoti kwa kununua, na kwenda kwenye matamasha aliyopo angefika hapo alipo?


Hivi vijana wa siku hizi uwezo wa kuchakata mambo umewapotelea wali?

Shenzi kabisa😀😀😀😀😀
Hapa ngoja na mie nitie neno... maana inaonesha umeonesha dharau ya hali ya juu yenye kashfa na kejeli kibao... hebu turudi nyuma kidogo... clouds media imeanza mwaka 1999... diamond katoka kimuziki mwaka 2009... miaka kumi zaid... hapo nyuma inamaana clouds walishindwa nini kumtengeneza msanii star zaidi ya diamond??? Kuna THT inamilikiwa na haohao clouds, wameshindwaje kumtengeneza msanii kama diamond??? Kitu kama kibovu hata ukitangaze kivipi hakiwezi kutoka... hatukatai kuwa n kweli diamond kwa kiasi fulani kabustiwa na clouds lakini hata clouds yenyewe imebustiwa sana na diamond... kipindi kile hawajakorofishana, diamond akitangaza kufanya interview Tanzania yote inasimama na kuitegea masikio clouds.... sahv hiyo jeuri hawana
Kwa kumalizia ni kwamba mashabiki alionao mond hawajatokana na clouds bali ni juhudi zake katika kazi na kujituma.... na pia ni kutokana na kuwa na mameneja makini na wenye heshima hapa bongo na nje ya bongo... mkubwa fella wa TMK na Babu tale wa TIPTOP....
Nawasilisha
 
Napatikana mtaa wa Congo kwa nguo za sikukuu za watoto mkija mnitafute....
 
Back
Top Bottom