Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
"....hatukatai kuwa n kweli diamond kwa kiasi fulani kabustiwa na clouds..." Je nahitajika kusema tena?Hapa ngoja na mie nitie neno... maana inaonesha umeonesha dharau ya hali ya juu yenye kashfa na kejeli kibao... hebu turudi nyuma kidogo... clouds media imeanza mwaka 1999... diamond katoka kimuziki mwaka 2009... miaka kumi zaid... hapo nyuma inamaana clouds walishindwa nini kumtengeneza msanii star zaidi ya diamond??? Kuna THT inamilikiwa na haohao clouds, wameshindwaje kumtengeneza msanii kama diamond??? Kitu kama kibovu hata ukitangaze kivipi hakiwezi kutoka... hatukatai kuwa n kweli diamond kwa kiasi fulani kabustiwa na clouds lakini hata clouds yenyewe imebustiwa sana na diamond... kipindi kile hawajakorofishana, diamond akitangaza kufanya interview Tanzania yote inasimama na kuitegea masikio clouds.... sahv hiyo jeuri hawana
Kwa kumalizia ni kwamba mashabiki alionao mond hawajatokana na clouds bali ni juhudi zake katika kazi na kujituma.... na pia ni kutokana na kuwa na mameneja makini na wenye heshima hapa bongo na nje ya bongo... mkubwa fella wa TMK na Babu tale wa TIPTOP....
Nawasilisha
Tatizo ninyi watoto wa juzi mnajibu kwa jazba bila kusoma kwa makini mwenzio kasema nini!
Mtoa mada kasema hakuna msanii ambaye amepat umaarufu bila kupitia Clouds!....maana yake nini?...ni kwamba kupitia beef au sapoti yao hakuna mwana bongofleva ambaye ameupata umaarufu pasipo kuhusishwa au kujihusisha na Clouds!
Ninyi mnapinga. Mnaona watu wana muonea wivu huyo bwana. Hapana. Jifunzeni kusoma mkiwa mmetulia!
Wahenga walisha sema;
Never ignore, never refuse to see what may be thought against your thought...' [F. Nietzsche]