Diamond Platnumz ana nyota ya kupendwa mashabiki wengi kuliko Clouds Media

Diamond Platnumz ana nyota ya kupendwa mashabiki wengi kuliko Clouds Media

Hao unaowataja kwanini wameshindwa kumtoa msanii mwingine zaid ya diamond? Ndo tunaporudi kulekule kuwa nyota yake inang'aa ndo maana tokea wimbo wake wa kwanza hadi leo hajashuka... clouds hawakumwibua mond, bali walimkuta keshakuwa maarufu....
Kuhusu mke wa kusaga kuwa na.share wasafi tv sio kitu cha ajabu.... wale ni watu wanaodeal na media... ni sawa na mark zuckerberg kuwa na share fb, insta na wasap ambazo kila siku zinakompete nakila moja inaumiliki unaojitegemea... na kusaga kuhusika katika media za mondi haimaanishi yeye ndo yupo nyuma yake... mambo mangapi mond ameyafanya yeye mwenyewe? Label ya WCB kaianzisha mwenyewe, wasafi media kaianzisha mwenyewe, chibu perfume, zoom production, wasafi.com, karanga, nk.... na hivo vyote kaingia partinerships na watu mblimbali sababu hatujasikia km anamiliki kiwanda... lakin uzuri vinatumia logo yake basi ana share yake pale... ni sawa na Cristiano Ronaldo na ile logo yake ya CR7, inafanya kazi kubwa sana na makampuni makubwa... na kila kitu kinachotoka chini ya cr7 bac jua na ronaldo anahusika moja kwa moja....
Aaaah bhana muwage na nyie mnafikiria kidogo... sio kila kitu kutafuniwa hadi maana ya great thinkers inapotea... aaagggrrrr 😡😡👹👹
Bosi usipanic, twende taratibu, Hata messi ni mchezaji bora zaidi duniani, but tunaamini kuwa barcelona ina mchango mkubwa kufika hapo. Kusema angefanikiwa kuwa top player hata bila barcelona zitakuwa ni perception, yaani ni null au unproven. Au kusema kama barcelona wanaweza kutengeneza vipaji wamtengeneze messi mwingine nitakushangaa pia. Talent ni kama moto tu, unahitaji chanzo ili uwake, bila hivyo unaweza ukaenda kaburini na kipaji chako bila mafanikio, 5years back kulikuwa na gwiji mmoja tu wa masuala ya burudani, Ruge mutahaba, ili ufanikiwe kwenye media ni lazima ahusike, utake usitake ukweli ndio huo. Labda uwe umeanza kufuatilia burudani mwaka jana,
 
Ruge asha wasimamie wasanii wengi lile Jumba La THT ni Msanii gani ashawahi fika hata robo ya mafanikio ya Domo
Barcelona imekuza vipaji vingi ila pale ra masia kuna mchezaji gani amefikia robo ya mafanikio ya messi (nimekujibu kwa swali ili aungalie vizuri kitu ulichoandika kama kina mashiko)
 
Barcelona imekuza vipaji vingi ila pale ra masia kuna mchezaji gani amefikia robo ya mafanikio ya messi (nimekujibu kwa swali ili aungalie vizuri kitu ulichoandika kama kina mashiko)
Basi kuanzia leo msiseme Ruge ndo kamfikisha Domo hapo sema ni kipaji na juhudi za Domo mwny huyo Ruge asha wa Manage wasanii wengi bongo ila hakuna aliepata mafanikio
 
Bosi usipanic, twende taratibu, Hata messi ni mchezaji bora zaidi duniani, but tunaamini kuwa barcelona ina mchango mkubwa kufika hapo. Kusema angefanikiwa kuwa top player hata bila barcelona zitakuwa ni perception, yaani ni null au unproven. Au kusema kama barcelona wanaweza kutengeneza vipaji wamtengeneze messi mwingine nitakushangaa pia. Talent ni kama moto tu, unahitaji chanzo ili uwake, bila hivyo unaweza ukaenda kaburini na kipaji chako bila mafanikio, 5years back kulikuwa na gwiji mmoja tu wa masuala ya burudani, Ruge mutahaba, ili ufanikiwe kwenye media ni lazima ahusike, utake usitake ukweli ndio huo. Labda uwe umeanza kufuatilia burudani mwaka jana,
Kwahiyo unataka unambie ruge ndo alishika majina ya wasanii wakubwa hapa bongo zaidi ya mkubwa fela na yule kaka ake babutale? Tuache kuandika vitu km watoto wa chekechea bhana.... nmekwambia kuna THT inasimamiwa na hao clouds, walishindwaje ama wameshindwaje kuwatengeneza wasanii km walivofanya TMK na TIPTOP? Afu mambo mengine uwe unajiongeza broe... kipaji cha mtu kina nguvu zaidi ya hizo media.... niaminivyo mimi bila hata ya clouds mond angetusua km wakina dully sykes kipind hichooo....
Unataka utuaminishe kuwa mond kapitia mikononi mwa ruge wapi na wapi? Ukaribu wao nadhani ulikuwa kikazi zaidi sababu mond hapo tayari ashakuwa star....
Mond wa nenda kamwambie na mbagala kipind hicho anatoboa hakuwa na huyo ruge... hata kipindi anazoa tuzo tatu ktma 2010 hakuwa na ruge.... baada ya zile tuzo saba za kili awards ndo clouds na ruge wakamnyemelea jamaa.... sasa hapo si alikuwa tayari ni staa? Fuatilia mambo usiandike kihisia
 
Analipiza au japo yy. Mwenyewe huwa anakataa kuwa hajaanzisha media ili kukompea au kuua nyingine yy hajaja kushindana amekuja kutafuta mkate wake ndo anavoadai ila najua ni mjanja sana huyo kijana anajua kabisa atawaua baadhi ya media ila akiilizwa anajibu vizuri wala haonyeshi kuwa na bifu na yeyote yaani jamaa ana akili mpaka anaboa
Media yupo share na Joseph Kusaga wa Clouds.....sisi tunaponda wao wanaelewana kwenye maslahi...pesa inatafutwa kwa akili sana mkuu...
 
IMG_20181210_123557.jpeg
 
Hapo dudu baya anajidai amerudi kwenye game baada ya miaka kumi na mbili kubaniwa na cloudz fm..... Jamaa linachekesha kweli,, kwa ngoma IP alitoa akabaniwa piA kasahau kuwa kinachombeba now ni shoo za wasafi festival siku wakimtema atarudi Kuchunga punda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila we jamaa bhana unachekesha
 
Kwahiyo unataka unambie ruge ndo alishika majina ya wasanii wakubwa hapa bongo zaidi ya mkubwa fela na yule kaka ake babutale? Tuache kuandika vitu km watoto wa chekechea bhana.... nmekwambia kuna THT inasimamiwa na hao clouds, walishindwaje ama wameshindwaje kuwatengeneza wasanii km walivofanya TMK na TIPTOP? Afu mambo mengine uwe unajiongeza broe... kipaji cha mtu kina nguvu zaidi ya hizo media.... niaminivyo mimi bila hata ya clouds mond angetusua km wakina dully sykes kipind hichooo....
Unataka utuaminishe kuwa mond kapitia mikononi mwa ruge wapi na wapi? Ukaribu wao nadhani ulikuwa kikazi zaidi sababu mond hapo tayari ashakuwa star....
Mond wa nenda kamwambie na mbagala kipind hicho anatoboa hakuwa na huyo ruge... hata kipindi anazoa tuzo tatu ktma 2010 hakuwa na ruge.... baada ya zile tuzo saba za kili awards ndo clouds na ruge wakamnyemelea jamaa.... sasa hapo si alikuwa tayari ni staa? Fuatilia mambo usiandike kihisia
Hapo ndipo unapochekesha mzee, unaongelea tuzo za KTMA then unabisha kuhusu ruge, Inaonekana hata mziki unaufuatilia mtandaoni😂. Hivi unajua who was behind KTMA zile tuzo za kugawana (usiniambie kilimanjaro, was just sponsor) Diamond wa kamwambie ma mbagala alikuwa anafanyia mazoezi THT. Na madensers wake wote wa mwanzo walitokea THT include mozee, was not coincedence. Tatizo lenu mnawajua hawa kupitia instagram. Hivi unajua hata ile move ya diamond kuchukua tuzo tano za kili huku bele9 aliambulia patupu alicheza nani? Hope kipindi hicho ulikuwa haujui kitu kwa sababu insta ilikuwa bado. Ukishamaliza hiyo assignment then tafuta kujua baada ya diamond kuvunja mkataba na papaa misifa (meneja wake wa kwanza) ni nani na nani waliolipa mkwanja wa kuvunja mkataba? Bosi hivyo vitu vya ndani sana i bet kama ungekuwa fan mzuri wa diamond ungevijua. Mwisho wa siku hakuna mahali niliposema kuwa diamond bila ruge na kusaga asingefanikiwa, ila nambishia anayebeza mchango wa clouds katika kumlaisishia njia ya ustar, utakuwa na kichwa kigumu sana kutotambua mchango wa ruge na kusaga katika mafanikio yake.
 
Hapo ndipo unapochekesha mzee, unaongelea tuzo za KTMA then unabisha kuhusu ruge, Inaonekana hata mziki unaufuatilia mtandaoni😂. Hivi unajua who was behind KTMA zile tuzo za kugawana (usiniambie kilimanjaro, was just sponsor) Diamond wa kamwambie ma mbagala alikuwa anafanyia mazoezi THT. Na madensers wake wote wa mwanzo walitokea THT include mozee, was not coincedence. Tatizo lenu mnawajua hawa kupitia instagram. Hivi unajua hata ile move ya diamond kuchukua tuzo tano za kili huku bele9 aliambulia patupu alicheza nani? Hope kipindi hicho ulikuwa haujui kitu kwa sababu insta ilikuwa bado. Ukishamaliza hiyo assignment then tafuta kujua baada ya diamond kuvunja mkataba na papaa misifa (meneja wake wa kwanza) ni nani na nani waliolipa mkwanja wa kuvunja mkataba? Bosi hivyo vitu vya ndani sana i bet kama ungekuwa fan mzuri wa diamond ungevijua. Mwisho wa siku hakuna mahali niliposema kuwa diamond bila ruge na kusaga asingefanikiwa, ila nambishia anayebeza mchango wa clouds katika kumlaisishia njia ya ustar, utakuwa na kichwa kigumu sana kutotambua mchango wa ruge na kusaga katika mafanikio yake.
Acha brabrah kijana... hiyo hadithi yako hata mie naweza kukaa na kuitunga... tatizo sipendelei kabisa kutia chumvi kwenye haya mambo... kwahiyo unataka unambie tuzo za kili zilikuwa zinaandaliwa na clouds??? 😂😂😂 labda pengine nilikuwa sijui... na mond umesema alikuwa anaenda kufanyia wapi mazoezi??? Daaah pole sana kwa kuwa mwongo wa hadharani.... nadhani hapo utataka kusema kuwa hata bob junior alikuwa chini ya clouds maana ndo safari ya mchizi ilikoanzia rasmi na mazoezi ya kuimba na kurekod kafanyia pale.... haya bhana kwa kuijua vizuri historia ya kijana wetu lakin upunguzage na uongo bax.... mwanaume kubwabwaja kama mange kimambi huwa haipendez sometimes.... baada ya papa misifa mond alienda kwa said fella (mkubwa fella) na kutokana na connections alizokuwa nazo huyu jamaa akamuunganisha na kusaga pamoja na babutale.... ndo safari ilianza km hvooo sasa cjui labda km kuna historia nyingine... maana hawa watu waliofanikiwa bhana kila mtu akiamua kusimulia atasimulia cha kwake ilimrad tu aonekane anamfaham mhusika kiundan zaid
 
Acha brabrah kijana... hiyo hadithi yako hata mie naweza kukaa na kuitunga... tatizo sipendelei kabisa kutia chumvi kwenye haya mambo... kwahiyo unataka unambie tuzo za kili zilikuwa zinaandaliwa na clouds??? 😂😂😂 labda pengine nilikuwa sijui... na mond umesema alikuwa anaenda kufanyia wapi mazoezi??? Daaah pole sana kwa kuwa mwongo wa hadharani.... nadhani hapo utataka kusema kuwa hata bob junior alikuwa chini ya clouds maana ndo safari ya mchizi ilikoanzia rasmi na mazoezi ya kuimba na kurekod kafanyia pale.... haya bhana kwa kuijua vizuri historia ya kijana wetu lakin upunguzage na uongo bax.... mwanaume kubwabwaja kama mange kimambi huwa haipendez sometimes.... baada ya papa misifa mond alienda kwa said fella (mkubwa fella) na kutokana na connections alizokuwa nazo huyu jamaa akamuunganisha na kusaga pamoja na babutale.... ndo safari ilianza km hvooo sasa cjui labda km kuna historia nyingine... maana hawa watu waliofanikiwa bhana kila mtu akiamua kusimulia atasimulia cha kwake ilimrad tu aonekane anamfaham mhusika kiundan zaid
Ndio maana ninakwambia haujui chochote kuhusu huyo mtu bosi, alafu jifunze kuandika vizuri, usiandike kama bado upo pre form one. Alipoachana na papaa misifa diamond alikuwa chini ya raqey wa i-view si fella kama unavyoamini. Nyimbo kama “Nataka kulewa” “Nimpende nani” na “kesho” zilikuwa under raqey, najua hakuna aliyekusimulia hii kitu so haujui kitu. Ruge na kusaga ni beneficial wa diamond platnumz, kuna swali umeuliza kuhusu bob junior, napata shida kumuelewesha mtu asiyejua tofauti ya record laber na media house. Anyway jibu rahisi ni kwamba hata bob junior amechangia mafanikio ya diamond, so unaweza kubisha kwenye hili pia? Nb. Jitahidi kujibu ukiwa umetulia, tuliza jazba acha mihemko.
 
Ndio maana ninakwambia haujui chochote kuhusu huyo mtu bosi, alafu jifunze kuandika vizuri, usiandike kama bado upo pre form one. Alipoachana na papaa misifa diamond alikuwa chini ya raqey wa i-view si fella kama unavyoamini. Nyimbo kama “Nataka kulewa” “Nimpende nani” na “kesho” zilikuwa under raqey, najua hakuna aliyekusimulia hii kitu so haujui kitu. Ruge na kusaga ni beneficial wa diamond platnumz, kuna swali umeuliza kuhusu bob junior, napata shida kumuelewesha mtu asiyejua tofauti ya record laber na media house. Anyway jibu rahisi ni kwamba hata bob junior amechangia mafanikio ya diamond, so unaweza kubisha kwenye hili pia? Nb. Jitahidi kujibu ukiwa umetulia, tuliza jazba acha mihemko.
Kuendelea kubishana na wewe n kupoteza muda wangu buree... baki na unachokiamini nami nibaki na changu....
Nice work broe 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom