Kuna vitu vingine havimake sense hata kidogo, kama walikuwa na uadui kabla ya kifo cha Ruge na hawakuwahi kuombana msamaha haina tija ya kwenda, halfu unaenda kumpamba marehemu eti alikuwa mtu mwema kwako na sifa kedekede. Jamani tuache unafiki, nina uhakika hata siku Diamond akianguka atazikwa na maelefu kwa kigezo kwamba ameisaidia jamii na kuwatoa vijana wengi kwenye music industry. Acheni watu waishi waonavyo na sio muonavyo watu, kwani huyu diamond amehudhuria misiba mingapi? Adui atabaki kuwa adui tu kama hakuomba amani, je kama Osama angekufa kifo cha kawaida then rais yeyote wa Marekani akahudhuria msiba wake, wamarekani wangemuelewa kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwalimu wa primary alikua hapendi kujisifia pale ambapo wanafunzi wake wengi wanapofaulu maana yeye alisema kama mtu kafaulu basi uwezo anao, ilikua miaka ya zamani ambapo kufaulu ilikua shida sanaMi hua nakasirika sana mtu kusema flani kapitia kwa flani ndio akatoka..!Napinga kwa herufi kubwa.KUTOKA ni kipaji cha mtu.So ukiona msanii katoka ni kipaji chake na juhudi zake.Hapo mnaposema kapitia kwa nani sijui kwa nani!Hao ni kama daraja tu na hata asingepitia kwa huyo tokana na juhudi zake angetoka tu sema labda angechelewa "you never know"..
Kwa akili za kawaida mtu akifa hana thamani tena.Uende msiban ama usiende lazima atazikwa.
Nashaanga sana kuona mtu analaum flani hajaenda msibani badala ya kulaumu kwa nini hakwenda wakati akiwa mgonjwa.Upendo wa kweli au hata ukiwa wa kinafiki ni kuoneshana tukiwa hai.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Well saidKuna mwalimu wa primary alikua hapendi kujisifia pale ambapo wanafunzi wake wengi wanapofaulu maana yeye alisema kama mtu kafaulu basi uwezo anao, ilikua miaka ya zamani ambapo kufaulu ilikua shida sana
Kimsingi kama mtu hana uwezo hawezi kufika mbali hata kidogo, kuna wangapi walibebwa na walishindwa kubebeka
Mimi sio shabiki wa diamond lakini lawama anazopewa hazina msingi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi hua nakasirika sana mtu kusema flani kapitia kwa flani ndio akatoka..!Napinga kwa herufi kubwa.KUTOKA ni kipaji cha mtu.So ukiona msanii katoka ni kipaji chake na juhudi zake.Hapo mnaposema kapitia kwa nani sijui kwa nani!Hao ni kama daraja tu na hata asingepitia kwa huyo tokana na juhudi zake angetoka tu sema labda angechelewa "you never know"..
Kwa akili za kawaida mtu akifa hana thamani tena.Uende msiban ama usiende lazima atazikwa.
Nashaanga sana kuona mtu analaum flani hajaenda msibani badala ya kulaumu kwa nini hakwenda wakati akiwa mgonjwa.Upendo wa kweli au hata ukiwa wa kinafiki ni kuoneshana tukiwa hai.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app[/Q
TALENT haibebwiii naungana Na we mkuu
Imefikia stage sasa kila mdanganyika anatakiwa kuonekana ana huzuni na aende msibani.Asee huyu Diamond mbona kazi anayo
Sent from my Iphone using Tapatalk
Hata kama ingekuwa hivyo, so what ?Mi hua nakasirika sana mtu kusema flani kapitia kwa flani ndio akatoka..!Napinga kwa herufi kubwa.KUTOKA ni kipaji cha mtu.So ukiona msanii katoka ni kipaji chake na juhudi zake.Hapo mnaposema kapitia kwa nani sijui kwa nani!Hao ni kama daraja tu na hata asingepitia kwa huyo tokana na juhudi zake angetoka tu sema labda angechelewa "you never know"..
Kwa akili za kawaida mtu akifa hana thamani tena.Uende msiban ama usiende lazima atazikwa.
Nashaanga sana kuona mtu analaum flani hajaenda msibani badala ya kulaumu kwa nini hakwenda wakati akiwa mgonjwa.Upendo wa kweli au hata ukiwa wa kinafiki ni kuoneshana tukiwa hai.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka huyo Ruge anakufa hajawahi ku-revoke AMRI yake ya Vyombo vya Clouds Media kumpa ushirikiano Diamond na Wasafi kwa ujumla katika kazi zao za sanaa, nilitegemea katika ile death bed pale Sauzi angemuomba hata msamaha
Diamond haitaji kuwa mnafiki, na pia sioni umuhimu au ulazima wa Diamond kuwa ndio centre of attention ya msiba wa Ruge, muacheni Ruge apewe heshima yake ya mwisho na watu wake aliochagua kushirikiana nao
Sent from my iPhone using JamiiForums