mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,950
- 5,317
Na hapa ndo Tatizo lilipo, kutaka kila mtanzania amlilie luge hadharani.
Tufike mahali tukubaliane kutokubaliana.hakuna mtu alipanga mstari kupiga kura ya kumuweka Dai hapo alipo.bali asili ya dunia ndo imemfanya hivyoo alivyo.
Tusimpangiee Jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tufike mahali tukubaliane kutokubaliana.hakuna mtu alipanga mstari kupiga kura ya kumuweka Dai hapo alipo.bali asili ya dunia ndo imemfanya hivyoo alivyo.
Tusimpangiee Jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app