Diamond Platnumz anunua gari mpya la kifahari Bentley GT W12 ya Milioni 500

Diamond Platnumz anunua gari mpya la kifahari Bentley GT W12 ya Milioni 500

Aonyeshe massion za ukweli huko bagamoyo siyo unakaa maharage yakiungua yanamnukia jirani.
 
Naam mkuu.

Sema mtoa mada katudanganya iyo sio ya 2020.

Iyo ni second generation ya 2013 iyo.

Third gen inaanzia 2018 yenyewe moto zaidi.

View attachment 3187231
Pia naona kama bei zimeongezwa sifuri. Maana gari ya 2013 huwezi pata mpya ni used.

View attachment 3187233

TRA nao hawataki mchezo wanataka mil 120.
View attachment 3187235

Kwahiyo on average mil 250 unapata iyo chuma.

No hate na Mond wala simpingi mtoa mada, mawazo yangu tu haya.
Namimi sihate mkuu

Ila kama ni mfatiliaji mzuri utatambua
Ni moja ya least reliable cars na inaface depression the moment inatoka dealership

Na ndo maana bei yake iko very cheap tofauti na lilivokuwa jipya

Sema kijana ana hela ataweza kulihudumia

Anyway
A bentley for 30k is a steal till you own it
Then it doesn't feel that anymore

Maneno ya wataalamu😀
 
Hiyo kasi ya 318 kph itafikiwa kwenye Barbara gani hapo Dar?
 
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019. Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa akienda Ivory Coast kwa ajili ya show yake, likifuatana na Cadillac na Rolls Royce.

Bentley hiyo ina uwezo wa kufikia kasi ya 318 km/h (198 mph) na inaweza kutoka 0 hadi 100 km/h kwa sekunde 4.3. Gari hili linajulikana kuwa ni chaguo la mastaa wengi duniani na sasa linauzwa kwa $230,000, sawa na TSh 575,000,000. Pamoja na kodi na usafirishaji hadi Tanzania, gharama ya kuiingiza inakadiriwa kufikia zaidi ya milioni 900.

Diamond Platnumz sasa anamiliki magari manne ya kifahari, ambayo ni Rolls Royce, Bentley, na Cadillac Escalade 2, zote za mwaka 2019.


Pia, Soma: Billnass amzawadia mtoto wake Naya, gari aina ya Alphard, aahidi kumpa gari la kifahari 'Escalade'
Mwambieni Diamond ajenge atoke kwenye kupanga aachane na haya magari kwanza,anazidiwa na Billnas na Nand
 
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019. Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa akienda Ivory Coast kwa ajili ya show yake, likifuatana na Cadillac na Rolls Royce.

Bentley hiyo ina uwezo wa kufikia kasi ya 318 km/h (198 mph) na inaweza kutoka 0 hadi 100 km/h kwa sekunde 4.3. Gari hili linajulikana kuwa ni chaguo la mastaa wengi duniani na sasa linauzwa kwa $230,000, sawa na TSh 575,000,000. Pamoja na kodi na usafirishaji hadi Tanzania, gharama ya kuiingiza inakadiriwa kufikia zaidi ya milioni 900.

Diamond Platnumz sasa anamiliki magari manne ya kifahari, ambayo ni Rolls Royce, Bentley, na Cadillac Escalade 2, zote za mwaka 2019.


Pia, Soma: Billnass amzawadia mtoto wake Naya, gari aina ya Alphard, aahidi kumpa gari la kifahari 'Escalade'
Hongera kwake
 
Back
Top Bottom