🤣🤣Wewe kiwanda chako kiko wapi?
Hivi kwann mnapenda kujifanya washauri kwa pesa za wanaume wenzenu 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Wewe kiwanda chako kiko wapi?
Hivi kwann mnapenda kujifanya washauri kwa pesa za wanaume wenzenu 🤣
Kumbuka huyo Ni mwanamzikimimi na matajiri wenzangu kina mo dewji, bakhresa GSM. hatuna mbwembwe kama hizo
Unafki haufaiNdo nani huyo?
Namimi sihate mkuuNaam mkuu.
Sema mtoa mada katudanganya iyo sio ya 2020.
Iyo ni second generation ya 2013 iyo.
Third gen inaanzia 2018 yenyewe moto zaidi.
View attachment 3187231
Pia naona kama bei zimeongezwa sifuri. Maana gari ya 2013 huwezi pata mpya ni used.
View attachment 3187233
TRA nao hawataki mchezo wanataka mil 120.
View attachment 3187235
Kwahiyo on average mil 250 unapata iyo chuma.
No hate na Mond wala simpingi mtoa mada, mawazo yangu tu haya.
Simba Dangote.Ndo nani huyo?
Wivuupuuuzi
uzuri wa haya maisha kila mtu ana priority zake, mimi nikipata samaki au kuku choma na balleys naona dunia ni yangu. so TUISHI HUMOMtoto wa Tandale
Noteduzuri wa haya maisha kila mtu ana priority zake, mimi nikipata samaki au kuku choma na balleys naona dunia ni yangu. so TUISHI HUMO
Akili za kimaskini hizi!uzuri wa haya maisha kila mtu ana priority zake, mimi nikipata samaki au kuku choma na balleys naona dunia ni yangu. so TUISHI HUMO
Mwambieni Diamond ajenge atoke kwenye kupanga aachane na haya magari kwanza,anazidiwa na Billnas na NandStaa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019. Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa akienda Ivory Coast kwa ajili ya show yake, likifuatana na Cadillac na Rolls Royce.
Bentley hiyo ina uwezo wa kufikia kasi ya 318 km/h (198 mph) na inaweza kutoka 0 hadi 100 km/h kwa sekunde 4.3. Gari hili linajulikana kuwa ni chaguo la mastaa wengi duniani na sasa linauzwa kwa $230,000, sawa na TSh 575,000,000. Pamoja na kodi na usafirishaji hadi Tanzania, gharama ya kuiingiza inakadiriwa kufikia zaidi ya milioni 900.
Diamond Platnumz sasa anamiliki magari manne ya kifahari, ambayo ni Rolls Royce, Bentley, na Cadillac Escalade 2, zote za mwaka 2019.
Pia, Soma: Billnass amzawadia mtoto wake Naya, gari aina ya Alphard, aahidi kumpa gari la kifahari 'Escalade'
maskini wapo sehemu zote, kwa hiyo kama mawazo yangu ni ya kimaskini sawa mkuu asanteAkili za kimaskini hizi!
Hongera kwakeStaa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019. Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa akienda Ivory Coast kwa ajili ya show yake, likifuatana na Cadillac na Rolls Royce.
Bentley hiyo ina uwezo wa kufikia kasi ya 318 km/h (198 mph) na inaweza kutoka 0 hadi 100 km/h kwa sekunde 4.3. Gari hili linajulikana kuwa ni chaguo la mastaa wengi duniani na sasa linauzwa kwa $230,000, sawa na TSh 575,000,000. Pamoja na kodi na usafirishaji hadi Tanzania, gharama ya kuiingiza inakadiriwa kufikia zaidi ya milioni 900.
Diamond Platnumz sasa anamiliki magari manne ya kifahari, ambayo ni Rolls Royce, Bentley, na Cadillac Escalade 2, zote za mwaka 2019.
Pia, Soma: Billnass amzawadia mtoto wake Naya, gari aina ya Alphard, aahidi kumpa gari la kifahari 'Escalade'