Mike Moe
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 319
- 335
Aanzishe na Akilindogosana soapPesa ni zake huwezi kumpangia mtu namna ya kutumia fedha zake.
Tafuta hela zako ukisha zipata kajenge hivyo viwanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aanzishe na Akilindogosana soapPesa ni zake huwezi kumpangia mtu namna ya kutumia fedha zake.
Tafuta hela zako ukisha zipata kajenge hivyo viwanda.
Kuna mambo kwa akili za kawaida tu unajua hapa ni chai haihitaji ushahidi au wewe Bentley umeisikia leo
Mbona hela ndogo sana hiyo?Naam mkuu.
Sema mtoa mada katudanganya iyo sio ya 2020.
Iyo ni second generation ya 2013 iyo.
Third gen inaanzia 2018 yenyewe moto zaidi.
View attachment 3187231
Pia naona kama bei zimeongezwa sifuri. Maana gari ya 2013 huwezi pata mpya ni used.
View attachment 3187233
TRA nao hawataki mchezo wanataka mil 120.
View attachment 3187235
Kwahiyo on average mil 250 unapata iyo chuma.
No hate na Mond wala simpingi mtoa mada, mawazo yangu tu haya.
Safiii apingaye aje na facts....Naam mkuu.
Sema mtoa mada katudanganya iyo sio ya 2020.
Iyo ni second generation ya 2013 iyo.
Third gen inaanzia 2018 yenyewe moto zaidi.
View attachment 3187231
Pia naona kama bei zimeongezwa sifuri. Maana gari ya 2013 huwezi pata mpya ni used.
View attachment 3187233
TRA nao hawataki mchezo wanataka mil 120.
View attachment 3187235
Kwahiyo on average mil 250 unapata iyo chuma.
No hate na Mond wala simpingi mtoa mada, mawazo yangu tu haya.
Acha mawazo Yako ya mbagala hizo gari hupandishwa mwewe na kurudi.Uko sahihu
Tatizo hapo mafundi na spea itabidi aangize huko alikonunua
Likileta shida atakoma
Gari yeyote kununua angalia je mafundi na spea locally vipo?
Jenga wewe mkuu hujazuiwaMabilioni ambayo diamond anatumia kununua magari anagetumia kujenga viwanda. Mfano viwanda vya sabuni za kufulia, wasafi soap
Ukweli ni kwamba Sio hela halali hizo pesa za maagano hizo sitojari kuambiwa na wivuAcha wivu wa kijinga mwenzako anapambana wewe unasema hela za laana
Sasa kama haituhusu kwanini tumepewa hii taarifa?Wabongo mnapenda kujifanya washauri kwenye mali za watu.
Hata kama kanunua gari ambalo spea zake ni shida kupatikana, Wewe inakuhusu nini?
Yeah hao asilimia kubwa ya ndege zao ni muundo wa private jet siyo commercial, japo dassault wanatengeneza ndege za kivita pia, kama akina lockheed martinyeap. Kama hao gulfstream na dassault wao mamejikita kutengeneza executive jet. Ndege za kifahari tu.
Hili ni jukwaa la celebrities.Sasa kama haituhusu kwanini tumepewa hii taarifa?
Am ascending into that path too, God bless us🫡Dark path is always a right path to riches and wealthy. And for me am ready to ascend that path.
Hahahahaa sasa Tena izo GT zile continental ambazo sio GT unaweza pata cheap ata za 150 kushuka. Used. 1st ten za 2000s.Bro upo serious kweli au ndio Kiki za mtandaoni na umaarufu wa kupiga uongo? Bently ya mil 250??? Si bongo zingekua nyingi bro au imekua vxr ya 2016 hiyo?
Mimi sio shabiki wa mondi ila ongezea sukari kwenye chai
🤣🤣Acha wivu na pombe
🤣🤣Vipi Mbona ni kama unataka kulia umeumia sana?
Nipeni Deal wakuu. Na mimi npate pesa ya kulisha wazaz wngStaa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019. Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa akienda Ivory Coast kwa ajili ya show yake, likifuatana na Cadillac na Rolls Royce.
View attachment 3187223
Bentley hiyo ina uwezo wa kufikia kasi ya 318 km/h (198 mph) na inaweza kutoka 0 hadi 100 km/h kwa sekunde 4.3. Gari hili linajulikana kuwa ni chaguo la mastaa wengi duniani na sasa linauzwa kwa $230,000, sawa na TSh 575,000,000. Pamoja na kodi na usafirishaji hadi Tanzania, gharama ya kuiingiza inakadiriwa kufikia zaidi ya milioni 900.
View attachment 3187225
Diamond Platnumz sasa anamiliki magari manne ya kifahari, ambayo ni Rolls Royce, Bentley, na Cadillac Escalade 2, zote za mwaka 2019.
View attachment 3187227
Pia, Soma: Billnass amzawadia mtoto wake Naya, gari aina ya Alphard, aahidi kumpa gari la kifahari 'Escalade'
Si ana mediaMabilioni ambayo diamond anatumia kununua magari anagetumia kujenga viwanda. Mfano viwanda vya sabuni za kufulia, wasafi soap
Kupitia mada Kama hizi inasaidia kujua makapukuMabilioni ambayo diamond anatumia kununua magari anagetumia kujenga viwanda. Mfano viwanda vya sabuni za kufulia, wasafi soap