Diamond Platnumz anunua gari mpya la kifahari Bentley GT W12 ya Milioni 500

Diamond Platnumz anunua gari mpya la kifahari Bentley GT W12 ya Milioni 500

Naam mkuu.

Sema mtoa mada katudanganya iyo sio ya 2020.

Iyo ni second generation ya 2013 iyo.

Third gen inaanzia 2018 yenyewe moto zaidi.

View attachment 3187231
Pia naona kama bei zimeongezwa sifuri. Maana gari ya 2013 huwezi pata mpya ni used.

View attachment 3187233

TRA nao hawataki mchezo wanataka mil 120.
View attachment 3187235

Kwahiyo on average mil 250 unapata iyo chuma.

No hate na Mond wala simpingi mtoa mada, mawazo yangu tu haya.
Mbona hela ndogo sana hiyo?
 
Naam mkuu.

Sema mtoa mada katudanganya iyo sio ya 2020.

Iyo ni second generation ya 2013 iyo.

Third gen inaanzia 2018 yenyewe moto zaidi.

View attachment 3187231
Pia naona kama bei zimeongezwa sifuri. Maana gari ya 2013 huwezi pata mpya ni used.

View attachment 3187233

TRA nao hawataki mchezo wanataka mil 120.
View attachment 3187235

Kwahiyo on average mil 250 unapata iyo chuma.

No hate na Mond wala simpingi mtoa mada, mawazo yangu tu haya.
Safiii apingaye aje na facts....
 
yeap. Kama hao gulfstream na dassault wao mamejikita kutengeneza executive jet. Ndege za kifahari tu.
Yeah hao asilimia kubwa ya ndege zao ni muundo wa private jet siyo commercial, japo dassault wanatengeneza ndege za kivita pia, kama akina lockheed martin
 
Bro upo serious kweli au ndio Kiki za mtandaoni na umaarufu wa kupiga uongo? Bently ya mil 250??? Si bongo zingekua nyingi bro au imekua vxr ya 2016 hiyo?
Mimi sio shabiki wa mondi ila ongezea sukari kwenye chai
Hahahahaa sasa Tena izo GT zile continental ambazo sio GT unaweza pata cheap ata za 150 kushuka. Used. 1st ten za 2000s.
 
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019. Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa akienda Ivory Coast kwa ajili ya show yake, likifuatana na Cadillac na Rolls Royce.
View attachment 3187223
Bentley hiyo ina uwezo wa kufikia kasi ya 318 km/h (198 mph) na inaweza kutoka 0 hadi 100 km/h kwa sekunde 4.3. Gari hili linajulikana kuwa ni chaguo la mastaa wengi duniani na sasa linauzwa kwa $230,000, sawa na TSh 575,000,000. Pamoja na kodi na usafirishaji hadi Tanzania, gharama ya kuiingiza inakadiriwa kufikia zaidi ya milioni 900.
View attachment 3187225
Diamond Platnumz sasa anamiliki magari manne ya kifahari, ambayo ni Rolls Royce, Bentley, na Cadillac Escalade 2, zote za mwaka 2019.
View attachment 3187227

Pia, Soma: Billnass amzawadia mtoto wake Naya, gari aina ya Alphard, aahidi kumpa gari la kifahari 'Escalade'
Nipeni Deal wakuu. Na mimi npate pesa ya kulisha wazaz wng
 
Back
Top Bottom