Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Wewe ndege unayo?Wenzake wananunua ndege yeye bado yupo kwenye magari?!!!
Bora angejichanga anunue ndege kuliko gari...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndege unayo?Wenzake wananunua ndege yeye bado yupo kwenye magari?!!!
Bora angejichanga anunue ndege kuliko gari...
Upuuzi kwa mtazamo wako na akili zako finyu.Pole sana mkuu, ulichoandika ni upuuzi mkubwa sana. Samahani kwa kuingilia mazungumzo yenu.
Again, umeandika upuuzi kabisa.Upuuzi kwa mtazamo wako na akili zako finyu.
Nakwambia hivi si jukumu wala wajibu wa mtu binafsi kusaidia watu.
Jukumu la kusaidia watu ni hiyari na maamuzi ya mtu binafsi tu.
Sio lazima.
Upuuzi kwa mtazamo wako na akili zako finyu.Again, umeandika upuuzi kabisa.
Samahani niliingilia mazungumzo yenu mkuu!!Upuuzi kwa mtazamo wako na akili zako finyu.
Pesa ni zake huwezi kumpangia mtu namna ya kutumia fedha zake.Mabilioni ambayo diamond anatumia kununua magari anagetumia kujenga viwanda. Mfano viwanda vya sabuni za kufulia, wasafi soap
Naam mkuu.
Sema mtoa mada katudanganya iyo sio ya 2020.
Iyo ni second generation ya 2013 iyo.
Third gen inaanzia 2018 yenyewe moto zaidi.
View attachment 3187231
Pia naona kama bei zimeongezwa sifuri. Maana gari ya 2013 huwezi pata mpya ni used.
View attachment 3187233
TRA nao hawataki mchezo wanataka mil 120.
View attachment 3187235
Kwahiyo on average mil 250 unapata iyo chuma.
No hate na Mond wala simpingi mtoa mada, mawazo yangu tu haya.
Sio fisi kweli 😹Gari langu linaitwa BICHWA KOMWE ESCALLADE VIETEE
Nalipanda sana mida ya usiku.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy secretarybird Lloyd Munroe
Hobby tu kaka, anza mdogo mdogo.Mdau nakukubali sana kwenye hiki kipengele cha magari hapa jf. I wish niwe kama wewe ila kwenye upande wa ndege.
Wewe kiwanda chako kiko wapi?Mabilioni ambayo diamond anatumia kununua magari anagetumia kujenga viwanda. Mfano viwanda vya sabuni za kufulia, wasafi soap
Wabongo hasa makapuku na maskini choka mbaya wanapenda sana kujifanya washauri kwenye mali na pesa za watu.Wewe kiwanda chako kiko wapi?
Hivi kwann mnapenda kujifanya washauri kwa pesa za wanaume wenzenu 🤣
Wewe ndege yako iko wapi? 😂Wenzake wananunua ndege yeye bado yupo kwenye magari?!!!
Bora angejichanga anunue ndege kuliko gari...
Sina hela 🤣🤣 nina kiwanda cha maneno mengi sana, mdomo, mdomo, tatizo kamdomo, kamdomo 🤣Wewe kiwanda chako kiko wapi?
Hivi kwann mnapenda kujifanya washauri kwa pesa za wanaume wenzenu 🤣
Wivu umewajaa, wao kutwa wanazaliana na hakuna wa kuwashauri…. Ila mtu akijipa pole na tuvitu tuzuri zuri hao wanaibuka kutoka shimoni km kasongo 🤣🤣Wabongo hasa makapuku na maskini choka mbaya wanapenda sana kujifanya washauri kwenye mali na pesa za watu.
Halafu wao hawana hata pikipiki.
😹😹😹Sina hela 🤣🤣 nina kiwanda cha maneno mengi sana, mdomo, mdomo, tatizo kamdomo, kamdomo 🤣
🤣 siku njaa ikinishika kisawasawa nitakuja mjini kufanya hiyo kazi. Nina kamdomo kuliko huyo juma na doto magari 🤣🤣🤣😹😹😹
Omba kazi wasafi msaidiane na Juma lokole kusengenya watu.!!
Uko sawa ndio value yake hakuna zaidi ya hapo na ndio pesa aliyolipaNaam mkuu.
Sema mtoa mada katudanganya iyo sio ya 2020.
Iyo ni second generation ya 2013 iyo.
Third gen inaanzia 2018 yenyewe moto zaidi.
View attachment 3187231
Pia naona kama bei zimeongezwa sifuri. Maana gari ya 2013 huwezi pata mpya ni used.
View attachment 3187233
TRA nao hawataki mchezo wanataka mil 120.
View attachment 3187235
Kwahiyo on average mil 250 unapata iyo chuma.
No hate na Mond wala simpingi mtoa mada, mawazo yangu tu haya.