Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Gari langu linaitwa BICHWA KOMWE ESCALLADE VIETEE
Nalipanda sana mida ya usiku.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy secretarybird Lloyd Munroe
Fafanua vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari langu linaitwa BICHWA KOMWE ESCALLADE VIETEE
Nalipanda sana mida ya usiku.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy secretarybird Lloyd Munroe
Gari la kufiribwaGari langu linaitwa BICHWA KOMWE ESCALLADE VIETEE
Nalipanda sana mida ya usiku.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy secretarybird Lloyd Munroe
Hujui unachoongea. Kwa wenzetu kila senti unayopata na kutumia lazima utoe maelezo. Ndiyo maana hakuna michezo michafu kama hii. Siyo wivu mwanangu. Angewekeza kwenye vitu vya maana, huenda angewaajiri vijana wanaooza kwa kukosa ajira na kipato. Akina Bill Gates hawakuwekeza kama mataahira na malimbukeni wetu hata kama fedha ni yao.Kama kuna pesa za unga na wewe uza huo unga ununue hizo ndinga, Kama ni rahisi hivyo.
Sio unaleta wivu wa kifukara na mawazo ya kikapuku.
Kumbaff aumie au kulia nani wakati anachofanya ni kujiangamiza kiuchumi?Vipi Mbona ni kama unataka kulia umeumia sana?
Sio jukumu wala wajibu wa Diamond Platnumz kuwaajiri vijana wanao kosa ajira na kipato, Hilo ni jukumu na wajibu wa serikali. Sio mtu binafsi.Hujui unachoongea. Kwa wenzetu kila senti unayopata na kutumia lazima utoe maelezo. Ndiyo maana hakuna michezo michafu kama hii. Siyo wivu mwanangu. Angewekeza kwenye vitu vya maana, huenda angewaajiri vijana wanaooza kwa kukosa ajira na kipato. Akina Bill Gates hawakuwekeza kama mataahira na malimbukeni wetu hata kama fedha ni yao.
Wabongo mnapenda kujifanya washauri kwenye mali za watu.Uko sahihu
Tatizo hapo mafundi na spea itabidi aangize huko alikonunua
Likileta shida atakoma
Gari yeyote kununua angalia je mafundi na spea locally vipo?
Ujinga. Kumbuka hao ndiyo mashabiki wake wanaomchangiaSio jukumu wala wajibu wa Diamond Platnumz kuwaajiri vijana wanao kosa ajira na kipato, Hilo ni jukumu na wajibu wa serikali. Sio mtu binafsi.
Huwezi kumpangia mtu namna ya kutumia fedha zake. Huku msaidia na wala hukuwepo kipindi anatafuta hizo hela.
Kama wewe una huruma sana na vijana wanao kosa ajira na kipato ilalamikie serikali yako, Au tumia hela zako wewe kuwaajiri hao vijana.
Sio kupangia watu wengine namna ya ku spend hela zao.
Kwani wanalazimishwa kumchangia?Ujinga. Kumbuka hao ndiyo mashabiki wake wanaomchangia
Kwani umelazimishwa kumtetea au wewe ndiye yeye kama siyo chawa wake?Kwani wanalazimishwa kumchangia?
Si maamuzi ya mtu tu.
Usimpangie maishaHii mipesa ya laana ya unga na usengee huwa haikawii wishi na wakafirisika. Badala ya kuwekeza kwenye vitu vya maana, wanawekeza kwenye matoi ya kitasha.
Hatetewi mtu hapa. Tuna elezana ukweli.Kwani umelazimishwa kumtetea au wewe ndiye yeye kama siyo chawa wake?
Je kama haihitaji ndege?Wenzake wananunua ndege yeye bado yupo kwenye magari?!!!
Bora angejichanga anunue ndege kuliko gari...
Pole sana mkuu, ulichoandika ni upuuzi mkubwa sana. Samahani kwa kuingilia mazungumzo yenu.Sio jukumu wala wajibu wa Diamond Platnumz kuwaajiri vijana wanao kosa ajira na kipato, Hilo ni jukumu na wajibu wa serikali. Sio mtu binafsi.
Huwezi kumpangia mtu namna ya kutumia fedha zake. Huku msaidia na wala hukuwepo kipindi anatafuta hizo hela.
Kama wewe una huruma sana na vijana wanao kosa ajira na kipato ilalamikie serikali yako, Au tumia hela zako wewe kuwaajiri hao vijana.
Sio kupangia watu wengine namna ya ku spend hela zao.
Alafu Iko Dar ambako hata kufika hiyo 100 ni shughuli.... Akili mgamdoBentley hiyo ina uwezo wa kufikia kasi ya 318 km/h (198 mph) na inaweza kutoka 0 hadi 100 km/h kwa sekunde 4.3.
😆😆Ndo nani huyo?