tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
kaka umeuaHuo unaitwa W I V U Basi kanunue yako Oystebay Au Masaki halafu njoo JF utuoneshe utajiri wako.
Nyie ndio bado mnakaa Kwa bibi zenu Halafu midomo mireeeeeeeeefu.
aliyopokea pesa ndio anatakiwa alipe kodi, ndio maana inaitwa kodi ya mapato,kwa hiyo muuuzaji ndio ulipa kodi na sio diamondJe analipa KODI ya MAPATO?
hiyo ni win-win situation, kufuatilia ujenzi ni shida bora kununua ready madeAcheni wivu wakuu, yeye kanunua nyumba kulingana na uwezo wake na yeye kwa sasa ndio msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko wote.
Mtu anaandika "oh nyumba hata sio hata ya mil 100"
Sasa wewe jenga nyumba yako hiyo ya mil 60 alaf uza kwa mil 60.1 jinga weh! Watu wanafanya biashara
Dah ivi kwanini hua wasanii hawaoni mbali kha! hua siku zote najiuliza suala la showoff maigambo masifa kwanini linachukua nafasi kubwa saana kwa watanzania? tunawapita mpaka waliozoea maisha hayo Wacongo? natamani siku moja nione DIAMOND spring water/DIAMOND appartment to let/DIAMOND unga safi wa ugali/DIAMOND mango juicy/DIAMOND cargo we transport country wide/DIAMOND petrol stations/DIAMOND full furnished appartments country wide/DIAMOND milk/Chocolate/DIAMOND plastic materials/ etc etc na kwa wengine dah mtu anakua amesecure future yake milele hata siku akiamua acha mziki powah tu!
Niliweke hapa kwani mimi superstar? by the way sijasema nyumba mbaya wala kuwa mimi niko na nzuri zaidi ya hiyo. mimi nimeshangaa tu thamani ya nyumba na nyumba yenyewe.hebu tuwekee jumba lako la kifahari tulione
Loh, do you know how many houses Diamond owns? Just because he has posted this one does not mean ndio anaanza. Embu ulizeni muanmbiwe. Hao akina Jux ni mziki tuu ndio umewalipa? Huyo Jux unaeza ukute anahekalu but thats all he has. Diamond ukijumlisha all his investments hao wenye mahekali hawamfikiii.Wakina jux wana ma hekalu ya maana wametulia, hyu cheusi dawa kanunua nyumba ya kawaida hatupumui
Dah! Na nyie waporipori mmezid aisee hiv mnaishi ulimwengu wa wap?Wanaume wa Dar katika ubora wao
sister ukisoma habari kwenye vyanzo vya hivi (visivyoaminika ) na wewe kama unautaka uhakika unaishughulisha akili yako. Hii kitu kaiweka DIAMOND kwenye page yake ya insta na hakutaja ni kiasi gani amenunuaKununha nyumba ni jambp zuri ila hiyo nyumba ka ni 100m haina value for money kabisa.
Nenda wewe kanunue pale alipo nunua kwanza yeye hajatamba na kwa kibongo bongo kuwekeza katika nyumba inalipaUmasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
Kwli mkuu kwa hadhi ya diamond bado cjamuelewa kbsa nyumba zke za kawaida sna kwa hadhi yke lol!!!but hongera zke!!!!Umasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
Kuna mwaka pale Mabibo nyumba ilikuwa inauzwa Million 3 watu wakadengua kununua sahizi ile nyumba mwenye nyumba kauza Million 100! Bila Longo longoHiyo Nyumba haifiki mil 100,nyumba ya mil 60 eti imekuwa 100?Tena hata 60 sidhani Kama inafika.
Nashukuru kwa mwongozo.....tatizo mie mambo ya insta sina wala facebook . kwa hiyo hizi mada za wasanii inakuwa nadra kuzifwatilia.sister ukisoma habari kwenye vyanzo vya hivi (visivyoaminika ) na wewe kama unautaka uhakika unaishughulisha akili yako. Hii kitu kaiweka DIAMOND kwenye page yake ya insta na hakutaja ni kiasi gani amenunua
Umeionaje ndani hiyo nyumba akati imepigwa picha nje tuuuu! Wabongo bhna yeye anawekeza katika nyumba na nyumba nzuri ya kuishi anayo ambayo wewe huna hizo zingine za ziada tuuuhiyo nyumba haiko na space na kitchen ndogo ya kizamani choo za kishamba zile za sinki lakini unachuchuma wakati wa kukata gogo.kwa kifupi kashikishwa.
swissme
Umejuaje kama Jux anahekalu ikiwa alitulia ?????Wakina jux wana ma hekalu ya maana wametulia, hyu cheusi dawa kanunua nyumba ya kawaida hatupumui
Kwani Diamond Hana nyuma anaishi.Nyumba imebanwa Sanaa
Mkuu Kuna watu wanajifanya wanajua kuuliko aliefanya, Diamond tayari anayo nyumba anaishi, hakuna anaejua lengo la kuinunua hiyo nyumba. Anataka kuweka ndugu zake, kupangiasha, kuifanya ofisi ama nini.Umeionaje ndani hiyo nyumba akati imepigwa picha nje tuuuu! Wabongo bhna yeye anawekeza katika nyumba na nyumba nzuri ya kuishi anayo ambayo wewe huna hizo zingine za ziada tuuu
Ni kweli mkuu yeye hajasema na Diamond sio nyumba ya kwanza hiyo kununua ana nyumba nyingi na alisha sema yeye kuwa atawekeza katika nyumba na ni kweli hamna uwekezaji unao lipa kama wanyumba mkuu! Ukiwa na Nyumba tano umepangisha hat kama kwa mwezi ni Laki 8 kwa nyumba tano atakuwa na million 4 kila mwezi! Hicho kiwango cha chini!Mkuu Kuna watu wanajifanya wanajua kuuliko aliefanya, Diamond tayari anayo nyumba anaishi, hakuna anaejua lengo la kuinunua hiyo nyumba. Anataka kuweka ndugu zake, kupangiasha, kuifanya ofisi ama nini.