abuu garcia
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 227
- 405
Apo tu ndo napochoka na wasanii wetu nyumba zao azina ata maali ya kuotesha maua ni parking ikizidi sana swiming pool ukuta uko ziro distance na dirisha aaah! Bora ununue shamba la m100 ujenge nyumba ya m 20
Diamond nyumba zake zote zimekaa kiswahili ila mswahili ni mswahili tu
Diamond nyumba zake zote zimekaa kiswahili ila mswahili ni mswahili tu