Diamond Platnumz arekodi ngoma na Wiz Khalifa

Diamond Platnumz arekodi ngoma na Wiz Khalifa

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Hii ni hatua nzuri kwa music wa Tanzania na East Africa kwa ujumla.

Screenshot_2021-07-04-20-12-53-1.png
 
Anarekodi na wastaafu tu, ni kama utoke Kenya au Nigeria uje kurekodi na Inspekta Haroun, Soggy Doggy au Mabaga Fresh na Wagosi wa Kaya...aangalie wenzake akina Burna Boy, Wizkid wanapiga kolabo na wasanii wanao hit sasa hivi🤣
 
Anarekodi na wastaafu tu, ni kama utoke Kenya au Nigeria uje kurekodi na Inspekta Haroun, Soggy Doggy au Mabaga Fresh na Wagosi wa Kaya...aangalie wenzake akina Burna Boy, Wizkid wanapiga kolabo na wasanii wanao hit sasa hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom