Anyway, mimi siyo muumini sana wa collabo hasa za kuwashirikisha wamarekani. Unless hizo collabo ziwe unafanya tu kutimiza ndoto yako kufanya kazi na msanii fulani, maana hata hao wasanii wa Marekani mara nyingi huwa wanafanya hizi collabo kama charity tu.
Mifano halisi kwamba hizi collabo hazina impacts,
- Davido feat Meek Mill
- Wizkid feat Drake
- Davido feat Chris Brown
- Dbanj feat Gucci mane
- 2face feat TPain
- Fuse ODG feat Ed Sheeran
- Fuse ODG feat Sean Paul
- Mr Easy feat Tyga
Hizi collabo zimefanyika lakini mpaka leo hazijasaidia chochote kwenye muziki wao.