Diamond Platnumz arekodi ngoma na Wiz Khalifa

Diamond Platnumz arekodi ngoma na Wiz Khalifa

Anyway, mimi siyo muumini sana wa collabo hasa za kuwashirikisha wamarekani. Unless hizo collabo ziwe unafanya tu kutimiza ndoto yako kufanya kazi na msanii fulani, maana hata hao wasanii wa Marekani mara nyingi huwa wanafanya hizi collabo kama charity tu.

Mifano halisi kwamba hizi collabo hazina impacts,

  • Davido feat Meek Mill
  • Wizkid feat Drake
  • Davido feat Chris Brown
  • Dbanj feat Gucci mane
  • 2face feat TPain
  • Fuse ODG feat Ed Sheeran
  • Fuse ODG feat Sean Paul
  • Mr Easy feat Tyga

Hizi collabo zimefanyika lakini mpaka leo hazijasaidia chochote kwenye muziki wao.
Hauko seriously mzee
 
One step at a time, kila hatua anayopiga huwa anapigwa vijembe halafu wengine wanakuja kuiga.
Mdogo mdogo hizo level za hao unaowasema atazifika obviously ndiyo malengo yake, wao walishatangulia acha naye aende kwa pace yake.
Dogo ni fighter at least we should appreciate that, hata kwa hao hajakutana nao kirahisi ni malengo na determination ndiyo vimemfikisha hapo.
Huogopi kumuita dogo?ht hushtuki yaan!
 
Anarekodi na wastaafu tu, ni kama utoke Kenya au Nigeria uje kurekodi na Inspekta Haroun, Soggy Doggy au Mabaga Fresh na Wagosi wa Kaya...aangalie wenzake akina Burna Boy, Wizkid wanapiga kolabo na wasanii wanao hit sasa hivi🤣
Unamjua wizz khalifa...?
 
Unamjua wizz khalifa...?
Ni msanii mkongwe wa nchini marekani wa nyimbo za kufoka foka aliyetamba kwa kiwango cha kati, mwaka 2008 mpaka 2014...hajawahi kushinda hata Grammy moja ...ashukuru wimbo wake ule wa see you again ndio anapata kuonekana kwenye billboard mara moja moja ukitokea msiba unaowagusa wamarekani. Kuna swali lingine ?
 
Hata kama Diamond simpendi lakini kusema eti anakutana na wastaafu ambao hawahiti unakua umejitoa akili na unaonyesha kabisa unafikiria kwa kutumia makalio na sio akili.

Hao wasanii wanaohiti wana view ngapi YouTube?

Ni msani gani anamfikia Wiz kwenye view za YouTube? Ana ngoma imeangaliwa mara bilioni 5 na milioni mia kadhaa, hao wanaohiti wana hata ngoma ya view milioni mia tano?

Wiz bado ana influence kubwa sana kwa sababu ngoma yake ya 5B bado inampa mileage kubwa sana na inaangaliwa na mamilioni ya watu kila siku. Hilo tu linamfanya wiz aendelee kua ni mtu anaetafutwa sana YouTube kuliko hao wasanii wenu mnaosema wanahit, bora hata wangekua wanaheat kuliko kuhit.

Hata kama Diamond hatumpendi lakini kwenye ukweli tuwe wakweli.

Ni sawa na mtu aseme leo ukifanya ngoma na Jay Zee umefanya na msaafu, hiyo itakua akili ama mavi?

Mwakani wiz atakua na view bilioni 7 na hakuna hata msaanii mmoja wa hao wanaohiti sasa atakua na hata view milioni 200.

Hivi si itakuwa ndio idadi ya watu wote duniani au?
 
Ni msanii mkongwe wa nchini marekani wa nyimbo za kufoka foka aliyetamba kwa kiwango cha kati, mwaka 2008 mpaka 2014...hajawahi kushinda hata Grammy moja ...ashukuru wimbo wake ule wa see you again ndio anapata kuonekana kwenye billboard mara moja moja ukitokea msiba unaowagusa wamarekani. Kuna swali lingine ?
Ok, alitamba kwa kiwango cha kati, ok sawa sina swali jingine
 
Kapiga hatua wizKhalifa atamsogeza Mahali.
Hata wakazi alisogezwa
Wakzi-na-Wiz.jpg
 
Kumbe Wiz Khalifa ana height kiivyo.
By the way mabangi Ft Diamond Platnumz lets wait and see
 
Wiz khalifa amenenepa sana hahaaa au wiz khalifa rapa? Akipiga korabo na The Weeknd nistue.
 
Dah huyu Alisha chuja, Diamond anatakiwa kukutana na wasanii walio pick sasa huyu Wizzy dah...

Diamond anatakiwa atoe ngoma Kali na wasanii wanao hits kwa sasa

Sadala huwa hana timing, anaokoteza walio nje ya mchezo na hajifunzi…. Omarion, Ne-Yo, Morgan Heritage na hata Rick Ross tu.[emoji276]
 
Anarekodi na wastaafu tu, ni kama utoke Kenya au Nigeria uje kurekodi na Inspekta Haroun, Soggy Doggy au Mabaga Fresh na Wagosi wa Kaya...aangalie wenzake akina Burna Boy, Wizkid wanapiga kolabo na wasanii wanao hit sasa hivi[emoji1787]

Anarekodi na wastaafu tu, ni kama utoke Kenya au Nigeria uje kurekodi na Inspekta Haroun, Soggy Doggy au Mabaga Fresh na Wagosi wa Kaya...aangalie wenzake akina Burna Boy, Wizkid wanapiga kolabo na wasanii wanao hit sasa hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mna mawazo yanayorandana sana yaani, zaidi ya copycats…. NYIEEEEE!![emoji16][emoji16][emoji16]
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hivi ukienda studio, ukamkuta msanii ukapiga naye picha maana yake umerekodi naye wimbk?
 
Back
Top Bottom