Diamond Platnumz arekodi ngoma na Wiz Khalifa

Naomba link ya kazi waliyofanya, kupiha picha sio tatizo, hata rafiki yangu ana picha pamoja na kikwete ila hana hata awasiliano nae
Basi na wewe leta kazi ya diamond na wizkhalifa kama picha inamaanisha mfanye kazi
 
Basi na wewe leta kazi ya diamond na wizkhalifa kama picha inamaanisha mfanye kazi

Taabu lazima muipate tu 😎😎, kijana anapiga hatua ila kuna watz kama nyie mafanikio yake yanawafanya muwashwe

Your browser is not able to display this video.
 
Reactions: Qwy
Hizo ni pichatu za kawaida, wasanii wengi wa marekani kupiga nao picha mkikutana hawana maringo

Hawa wapo studio kikazi, sio picha tu ilimradi

View attachment 1842281
Kwani picha ya kazi na picha ya kawaida tofauti ni nini au Kuna nyingine wamesima miguu juu? Mpaka watoe huo wimbo ,hata wakazi angesema hizo picha za kazi hamna anayekataa,hakuna utofauti wa picha tatizo mnasifia ujinga tu ,picha akipiga wakazi na wiz khalifa ni tofauti akipiga diamond na wiz khalifa kivipi?
 
diamond hana ubunifu, he is done

remake za nyimbo zimemuonyesha kama yuko relevance, zero anapotea
 
Alikiba katoa song salute ft p square aliyechuja mnaimba pambio kila siku,
Now diamond yupo na wizkhalifa mnadai kachuja?
Witch hunt.
Unawachoma sindano kali sana, haters usipowaunga mkono ndiyo wanazidisha chuki na wanafura kwa hasira. Just take them slow usije kujikuta umekuwa kama wao ukaonyesha hate kwa mtu asiyehusika, huyo Kiba naye anapambana kwa kiwango chake si vibaya kwani naye amefunguka kwamba international collaborations zina umuhimu katika kukua kwake kisanaa japo awali alikuwa anaziponda sana. Better late than never hivyo aendelee kupambana.
Wabongo wana husda na huumizwa sana na mafanikio ya mtu, huyu dogo Sadala atazidi kuwatesa kwani ana malengo ya mbali sana na ni fighter asiyesikiliza vijibwa vinavyobweka pembeni visije kumpoteza direction. Level za Afrika ashaanza kuziachia vumbi sasa anapambania level za mbele.
To him, sky is just the beginning.
 
True say, hua sioni impact yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…