maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Hauko seriously mzeeAnyway, mimi siyo muumini sana wa collabo hasa za kuwashirikisha wamarekani. Unless hizo collabo ziwe unafanya tu kutimiza ndoto yako kufanya kazi na msanii fulani, maana hata hao wasanii wa Marekani mara nyingi huwa wanafanya hizi collabo kama charity tu.
Mifano halisi kwamba hizi collabo hazina impacts,
- Davido feat Meek Mill
- Wizkid feat Drake
- Davido feat Chris Brown
- Dbanj feat Gucci mane
- 2face feat TPain
- Fuse ODG feat Ed Sheeran
- Fuse ODG feat Sean Paul
- Mr Easy feat Tyga
Hizi collabo zimefanyika lakini mpaka leo hazijasaidia chochote kwenye muziki wao.
Huogopi kumuita dogo?ht hushtuki yaan!One step at a time, kila hatua anayopiga huwa anapigwa vijembe halafu wengine wanakuja kuiga.
Mdogo mdogo hizo level za hao unaowasema atazifika obviously ndiyo malengo yake, wao walishatangulia acha naye aende kwa pace yake.
Dogo ni fighter at least we should appreciate that, hata kwa hao hajakutana nao kirahisi ni malengo na determination ndiyo vimemfikisha hapo.
Unamjua wizz khalifa...?Anarekodi na wastaafu tu, ni kama utoke Kenya au Nigeria uje kurekodi na Inspekta Haroun, Soggy Doggy au Mabaga Fresh na Wagosi wa Kaya...aangalie wenzake akina Burna Boy, Wizkid wanapiga kolabo na wasanii wanao hit sasa hivi🤣
Ni msanii mkongwe wa nchini marekani wa nyimbo za kufoka foka aliyetamba kwa kiwango cha kati, mwaka 2008 mpaka 2014...hajawahi kushinda hata Grammy moja ...ashukuru wimbo wake ule wa see you again ndio anapata kuonekana kwenye billboard mara moja moja ukitokea msiba unaowagusa wamarekani. Kuna swali lingine ?Unamjua wizz khalifa...?
Hata kama Diamond simpendi lakini kusema eti anakutana na wastaafu ambao hawahiti unakua umejitoa akili na unaonyesha kabisa unafikiria kwa kutumia makalio na sio akili.
Hao wasanii wanaohiti wana view ngapi YouTube?
Ni msani gani anamfikia Wiz kwenye view za YouTube? Ana ngoma imeangaliwa mara bilioni 5 na milioni mia kadhaa, hao wanaohiti wana hata ngoma ya view milioni mia tano?
Wiz bado ana influence kubwa sana kwa sababu ngoma yake ya 5B bado inampa mileage kubwa sana na inaangaliwa na mamilioni ya watu kila siku. Hilo tu linamfanya wiz aendelee kua ni mtu anaetafutwa sana YouTube kuliko hao wasanii wenu mnaosema wanahit, bora hata wangekua wanaheat kuliko kuhit.
Hata kama Diamond hatumpendi lakini kwenye ukweli tuwe wakweli.
Ni sawa na mtu aseme leo ukifanya ngoma na Jay Zee umefanya na msaafu, hiyo itakua akili ama mavi?
Mwakani wiz atakua na view bilioni 7 na hakuna hata msaanii mmoja wa hao wanaohiti sasa atakua na hata view milioni 200.
Ok, alitamba kwa kiwango cha kati, ok sawa sina swali jingineNi msanii mkongwe wa nchini marekani wa nyimbo za kufoka foka aliyetamba kwa kiwango cha kati, mwaka 2008 mpaka 2014...hajawahi kushinda hata Grammy moja ...ashukuru wimbo wake ule wa see you again ndio anapata kuonekana kwenye billboard mara moja moja ukitokea msiba unaowagusa wamarekani. Kuna swali lingine ?
Ni dogo sana, sisi wengine ni wahenga.Huogopi kumuita dogo?ht hushtuki yaan!
Hata wakazi alisogezwaKapiga hatua wizKhalifa atamsogeza Mahali.
Diamond ft Ne-yoMond ft omarion
Mond ft rick ross
Dah huyu Alisha chuja, Diamond anatakiwa kukutana na wasanii walio pick sasa huyu Wizzy dah...
Diamond anatakiwa atoe ngoma Kali na wasanii wanao hits kwa sasa
Anarekodi na wastaafu tu, ni kama utoke Kenya au Nigeria uje kurekodi na Inspekta Haroun, Soggy Doggy au Mabaga Fresh na Wagosi wa Kaya...aangalie wenzake akina Burna Boy, Wizkid wanapiga kolabo na wasanii wanao hit sasa hivi[emoji1787]
Anarekodi na wastaafu tu, ni kama utoke Kenya au Nigeria uje kurekodi na Inspekta Haroun, Soggy Doggy au Mabaga Fresh na Wagosi wa Kaya...aangalie wenzake akina Burna Boy, Wizkid wanapiga kolabo na wasanii wanao hit sasa hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Korabo !!??Wiz khalifa amenenepa sana hahaaa au wiz khalifa rapa? Akipiga korabo na The Weeknd nistue.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mna mawazo yanayorandana sana yaani, zaidi ya copycats…. NYIEEEEE!![emoji16][emoji16][emoji16]
Bado haijatoka tu
I think hiyo Ngoma itakuwa kwenye album yake ambayo bado ijatokaBado haijatoka tu
Hii kitaalam wanaita kupiga kwenye mshono 😂😂😂😂