Diamond Platnumz ashinda tuzo tatu AFRIMA

Diamond Platnumz ashinda tuzo tatu AFRIMA

wamemhujumu,kura kashida yeye ila tuzo kapewa mwingine[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
kisingizio hiki ni noma aisee.
TAIFA STARS, SIMBA, YANGA na wawakilishi wengine wakienda nje ya nchi husingizia kuhujumiwa.
Kwanini timu za nje zikija nchini hatuzihujumu?? Au Tanzania ni Taifa LA manyumbu?
 
Hongera sana Diamond Platnumz, naona mshabiki wako top three wa JF yupo likizo yule mzurimie

Namsaka humu nimsome simuoni.

Congrats endelea kupiga kazi vizuri kijana, ila umejaza tayari si zinatosha or?
 
Ingawa wengine wanasifu uzuri wa sauti na kipaji na hata kudiriki kukudhihaki et anatumia nguvu nyingi kuimba , stl naheshimu sana juhudi zako na nidhamu katka kazi yako ya mziki.. blv m hakuna siri ya mafanikio katika maisha zaidi ya nidhamu ya kazi na juhudi hata kama una uelewa mdogo sana au huna kipaji kikubwa kama wengine ila juhudi na nidhamu humfanya mtu afanye mambo makubwa zaid ya ukubwa wa kipaji na sauti wanayo isifia wengi.. keep it up bro wewe ni fire[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Ingawa wengine wanasifu uzuri wa sauti na kipaji na hata kudiriki kukudhihaki et anatumia nguvu nyingi kuimba , stl naheshimu sana juhudi zako na nidhamu katka kazi yako ya mziki.. blv m hakuna siri ya mafanikio katika maisha zaidi ya nidhamu ya kazi na juhudi hata kama una uelewa mdogo sana au huna kipaji kikubwa kama wengine ila juhudi na nidhamu humfanya mtu afanye mambo makubwa zaid ya ukubwa wa kipaji na sauti wanayo isifia wengi.. keep it up bro wewe ni fire[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kumbe nawewe Member.
 
Back
Top Bottom