joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kafanyiwa vipi kwani ?Kama vanny boy anavyofanyiwa na WCB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanyiwa vipi kwani ?Kama vanny boy anavyofanyiwa na WCB
Amnyonye aslay sasa hivi Aslay hapo alipo ana nini? Muwe mnafikiria kabla hamjatoa haya makauli yenu kama ya mwigulu.Mondi ni mnyonyaji sana naona sasa anataka amnyonye Aslay!
Kama huoni walipofika bas utakua hauna macho,,Mbosso, Queen Darlene, Zuchu na Lava lava ameshawafikisha mbali wapi??
Kumbe hata Queen Darlene amesainiwa wasafi[emoji1][emoji1]Mbosso, Queen Darlene, Zuchu na Lava lava ameshawafikisha mbali wapi??
Ndio mwanamke wa kwanza kusainiwa wasafiKumbe hata Queen Darlene amesainiwa wasafi[emoji1][emoji1]
Ule wimbo wa karantini ni wasafi tupuKumbe hata Queen Darlene amesainiwa wasafi[emoji1][emoji1]
Aslay anatumia madawa?Madawa na kamari vinamlostisha Aslay
Na mimi na subiria jibu la swali ulilo uliza na tamani isiwe kweli.Aslay anatumia madawa?
kama anatumia nitasikitika sana kipaji kinaenda kupoteaNa mimi na subiria jibu la swali ulilo uliza na tamani isiwe kweli.
Aslay na Ruby...wangekuwa mbali sana
Zuchu ndie anaenyonya kiuchumi na kingono jamaa ana faidika two in one.Mondi ni mnyonyaji sana naona sasa anataka amnyonye Aslay!
Vanny boy ni kama Membe hawawezi vuma nje ya walipolelewaKama vanny boy anavyofanyiwa na WCB
Laana ya kula shoga la USAMadawa na kamari vinamlostisha Aslay
Mkuu kumbe dogo firauni ? Ebu tupe mkanda kidogo la hicho kisanga cha dogo na huyo shoga tumjueLaana ya kula shoga la USA
Duuuh! ustaa kazi.Laana ya kula shoga la USA