monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zuchu ni kesi nyingine yupo mbali sana Huwezi mfananisha na msanii yeyote wa kike hapa bongo, hata asilimia 80 ya wasanii wa kiume kawaacha mbali sana.Mbosso, Queen Darlene, Zuchu na Lava lava ameshawafikisha mbali wapi??
Hiv hiyo mikataba wanasain wakiwa walev au???Sasa huyo Aslay pamoja na kutoa hits nyingi chini ya Meneja Maneno alipata kitu gani?
Sasa kaenda kusaniwa Rocstar huko ndio , hawana msihala, Barakha da Prince kanyang'anywa mpaka account yake ya Youtube.
Hata uwe mkavu haimaanishi kwamba utaijua sheria. Tatizo moja hawataki kugawa riziki kwa wanasheria, sasa kama Aslay najua hana hela kivile, ila kwenye digital platforms hakosi 2-3m kwa mwezi, angetumia hata 1 or 2m kumpa Mwasheria amfafanulie vifungu vya kwenye mkataba.Hiv hiyo mikataba wanasain wakiwa walev au???
Kama huna kipaji uwekezaji hausaidiiMbosso, Queen Darlene, Zuchu na Lava lava ameshawafikisha mbali wapi??
Mkuu njaa haina baunsa, hata walioko makazini wakishakusanya mitaji na kuwekeza nje ya ajira ndio huanza kuhisi wananyonywa na kupondea ajira ila kipindi mtu na njaa zake kashaenda DODOMA kufanya interview kama 10 na hachoki ikibidi anakopa ili apate ajira tu.Hiv hiyo mikataba wanasain wakiwa walev au???
Amnyonye nini mkuuMondi ni mnyonyaji sana naona sasa anataka amnyonye Aslay!
Yuko mbali wapi?Zuchu ni kesi nyingine yupo mbali sana Huwezi mfananisha na msanii yeyote wa kike hapa bongo, hata asilimia 80 ya wasanii wa kiume kawaacha mbali sana.
[emoji1787]Kama alivyofika mbali Rich Mavoko
Hao wote kwa Aslay watasubir sana ndiyo maana jamaa ana rusha offer kiainaMbosso, Queen Darlene, Zuchu na Lava lava ameshawafikisha mbali wapi??
Ukimtoa qeen hao wote wanauza kuliko alikibaMbosso, Queen Darlene, Zuchu na Lava lava ameshawafikisha mbali wapi??
Anauza kuliko alikibaMbosso amefikia wapi?
Tamaa,ASLAY NAE SIJUI NINI KIMEMPATA?
Wakishauza wanapata kikubwa kuliko AlikibaUkimtoa qeen hao wote wanauza kuliko alikiba
Ngoja tuone kwa barnaba sasaMond kaongea kweli
Hoja yetu ilikuwa je mond hufanya watubwakuu kuxid king kibaWakishauza wanapata kikubwa kuliko Alikiba