Huyo zari umewahi kumuona live ila sura kwa sura ?Kuhusu kids 100%. Sema inaonekana wamekubalia kuishi ile wanaita mahusion open.. hakuna kubanana banaa.. sidhani kama mondi anakaa siku zote bila kukinukisha na hata kwa zari ngumu kukaa mda wote bila kukiwashaa.. ila wanaendana sana.. licha ya hivyo Zari chombo
Yule dada ni mchawi.. kiashiria ni roho yake
Kigogo kasema eti tairi ziko kipara 😂
Haters hawapendi maendeleo ya watu.
Sasa mkuu, macho yangu na yako tofaut. Mie ninachotazama kwa Zari ni tofauti na unachotazamaHuyo zari umewahi kumuona live ila sura kwa sura ?
Yule Dem hata Kitaani kwetu Kuna madem kibao wanamzidi. Kwa kifupi Hana maajabu
We Mwenye unamcheka[emoji23][emoji23][emoji23]Acha dharaaauuuu... kiba yoooooo papiriiii pariii yeyaaaaa.. yoooo
Umeshawahi kumuona live ?Sasa mkuu, macho yangu na yako tofaut. Mie ninachotazama kwa Zari ni tofauti na unachotazama
Achana na habari za Live au Insta mkuu, mie ninachokitaka kwa zari kipo that why nina mkubalii.. macho hayapo sawa.. sio kumuona tu nilisha shikana nae kabisa mikonoUmeshawahi kumuona live ?
Au zile Filters za Instagram zinakudanganya
Kwenye wenye mioyo ya laini na wenye ndoto Daimond ni mfano mzuri wa kuigwaKuna kitu kizuri cha kujifunza kupitia diamond platinumz....
Dada wa Taifa kasema gari ni feki MangeKimambi Eti body la rozi rois (Rolls Royce) engine ya IST 😂
Haters mbingu wataisikia tu.
Unazunguka Sana , ungejibu tu swali langu ndio au hapana.Achana na habari za Live au Insta mkuu, mie ninachokitaka kwa zari kipo that why nina mkubalii.. macho hayapo sawa.. sio kumuona tu nilisha shikana nae kabisa mikono
Haya ndioUnazunguka Sana , ungejibu tu swali langu ndio au hapana.
Hayo mengine Ni nonsensical kwangu.
Tyre mpya zote kama ukiitazama wakati inashuka. Wachawi huwa hawakosi hojaHahahaha wanasema Tairi kipara,wadau wa jamhuri ya Twitter wanasema sio jipya,Mmepigwa.View attachment 1854009
Aisee Kigoma Independent hii ndiyo zero kilometer mliyokua mnaisubiri au mtasubiri nyingine?Hahahaha wanasema Tairi kipara,wadau wa jamhuri ya Twitter wanasema sio jipya,Mmepigwa.View attachment 1854009
Yani kama utakuwa na umri zaidi ya 30, basi jitafakari sana maana unavkiwango kikubwa sana cha umama.Aisee imekuaje tena mitaa inasema mzigo ni fake ?
We endelea kuto kuamnini, ila ukweli mnaujua.Kwa hali ya sasa usafini ma stress ya kushindana, kukopi kazi za watu nk waweke hadharani karatasi za hilo gari la sivyo hawataondoa mtazamo kwamba hilo gari linaweza kuwa feki.
Nasikia gari yenyewe feki halafu kanunua kwa mkopo anadaiwa hela na Snoop Dogg..wamarekani wamemtapeli mtoto wa tandale😂
CannibisUnafikiri sijui basi, namuonea wivu tu...sasa nikimponda huku na kule angalau na mimi nafarijika😂😭