Kuna moja una 811 milionUko sahihi mzee nimecheck wimbo una viewers zaidi ya mil 260 subscribers 9.5m
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangwaru ipo kwenye account ya Harmonize.Hapo utakuta na alizoshirikiwa nazo wamezihesabu km zake..
Yope
Kwangaruu
Nk nk nk
Hapo utakuta na alizoshirikiwa nazo wamezihesabu km zake..
Yope
Kwangaruu
Nk nk nk
Aligoma asitangazweAli kiba alifikisha view billion 1.5 mwaka Jana toka aanze mziki
Sema hapendi Show off
Kamfatilie SAAD LAMJARRED.
Huyu ana watazamaji 2.4Billion na wafuatiliaji 9.5Milion, ni wa Morocco.
Ndo mana nikasema tuseme kwa wasanii wa kusini mwa jangwa la sahara.
Afrika?..diamond n mkubwa kuliko davido,starboy,koffi olomide mopao nk?..hahahahahaaaaaaaaaaa...Yesu chelewa kurudiiiii naona HARMO TANGU KAJITOA ANASUASUA KWENYE VIEWERS au ndo yaleeeeeeeeeee yanayosemwagaHabari njema kwa wapenda maendeleo. Maendeleo hayana Team kwa sauti ya Magufuli. Habari njema ni kwamba kijana anae liwakilisha Taifa letu katika Tasnia ya muziki kajiandikia historia ya kuwa msanii wa kwanza Afrika kufikisha views 900m You tube.
Nafikiri kuna haja ya watanzania wote kuheshimu mchango wa ndugu yetu huyu bila kujali team za mitandaoni. Nasikitika sana kuona wasanii chipukizi wakilewa sifa wanapo linganishwa na Diamond bila ya kutafakari mafanikio aliyoyafikia Chibu katika muziki. Hivi indicators zote hizi hawazioni na kutambua kuwa katika nchi yetu huyu yupo level ya pekee?
Pongezi kwake Mungu ampe ubunifu zaidi katika kazi zake.View attachment 1397163
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unacheka na kujitekenya mwenyewe,haya angalia takwimu hizo za January na February.Afrika?..diamond n mkubwa kuliko davido,starboy,koffi olomide mopao nk?..hahahahahaaaaaaaaaaa...Yesu chelewa kurudiiiii naona HARMO TANGU KAJITOA ANASUASUA KWENYE VIEWERS au ndo yaleeeeeeeeeee yanayosemwaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo AFRIKA?..mnajipa tabu sana.Naona unacheka na kujitekenya mwenyewe,haya angalia takwimu hizo za January na February.
View attachment 1398713
View attachment 1398714
1 billion viewers... Hata acheze video ya X hapati robot billion 1.Najua waKimataifa Diamond Platnumz na team yake nzima ya kina Sallam & co. chini ya Wasafi Label wanafukuzia ndoto ipo siku wimbo mmoja ufikie 1bn views YouTube maana ndani yao imani, juhudi, maarifa na mikakati ya kufika huko ipo ndani ya DNA yao.