Hata mi jamaa kanishangaza sana, labda anadhani BET ni sawa na kili Music awardKwani hizo likes ndo kura zenyewe au!?
Kuna ushabiki mwingine ni uwendawazimu kabisa.Kwani hizo likes ndo kura zenyewe au!?
Kati ya vitu vinavyoua uwezo wa kufikiria na kujenga hoja ni;Kuna ushabiki mwingine ni uwendawazimu kabisa.
Kwani wakina Lema na Lissu wao kura zao wanapigaje?Hata mi jamaa kanishangaza sana, labda anadhani BET ni sawa na kili Music award
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
sikuwahi kujua kuwa mataga wa madale wana vichwa vitupu namna hii.
Mkuu wakina kigogo na Sarungi wao wanapigaje kura?sikuwahi kujua kuwa mataga wa madale wana vichwa vitupu namna hii.
Kwani kura zinapigwaje,maana Mwijaku na kigogo walisema kura zote kwa BurnaboyKwani hizo likes ndo kura zenyewe au!?
Ni kwamba tupo against Diamond na mtu ambaye anatujia akilini chap ni BurnaNaona wengi mnaojadili hii tuzo mnamzungumzia Mondi na Burna kama ndio wapo wenyewe tu, mnamjua Aya Nakamura?
Kwani hizo likes ndo kura zenyewe au!?
Likes ndo kura?
Hata mi jamaa kanishangaza sana, labda anadhani BET ni sawa na kili Music award
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kuna ushabiki mwingine ni uwendawazimu kabisa.
Mleta maada yupo sawa lakin? Au bado ana fikra za ki You tube?
sikuwahi kujua kuwa mataga wa madale wana vichwa vitupu namna hii.
Kati ya vitu vinavyoua uwezo wa kufikiria na kujenga hoja ni;
1. Kupenda mtu/kitu kupitiliza.
2. Kukosa exposure
3. Ubinafsi
Kati ya hayo, huyu mkuu wetu anangukia hapo namba moja.
Naungana na wewe, huu ni ushabiki maandazi.
Ngoja niwajibu Tu kiroho safi nyie vichwa maji , nimesema mashabiki Wana ushawishi pia na sio kwamba ndo wanapiga Kura , support inapokuwa kubwa zaidi unaongeza ushawishi wa kushinda ...mmenielewa nyie virobotoHuyu mleta mada kunatatizo mahali[emoji23][emoji23]
Lsbda useme azidivkupelekewa motoJua linazidi kuchomoza Kwa mtanzania Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET dhidi ya nguli wa Mziki Burna Boy ...
Akiwa under high criticism kuhusu support kwenye nchi yake mwenyewe nguli huyu wa Bongo fleva asiyejua kukata tamaa wala kupumzika ameendelea kupambana to the bitter end... Na sasa matunda yameanza kuonekana .....
Mashabiki zake wamedhidi kumpambania "Fiercely to the last " ili kushawishi tuzo hyo itue bongo land....
Tunaendelea kumtakia kila lakheri, shujaa wa Africa 🙏View attachment 1808849
Alafu unawezakuta ni mama au baba wa familia 🤔Huyu mleta mada kunatatizo mahali[emoji23][emoji23]
Uncle Shamte mbona unapata tabu sana 🤣Ngoja niwajibu Tu kiroho safi nyie vichwa maji , nimesema mashabiki Wana ushawishi pia na sio kwamba ndo wanapiga Kura , support inapokuwa kubwa zaidi unaongeza ushawishi wa kushinda ...mmenielewa nyie viroboto
Tena uwendawazimu uliochanganyikana na kichaa kabisa[emoji23][emoji23] wanapiga kura kwa likes ..Kuna ushabiki mwingine ni uwendawazimu kabisa.