Diamond Platnumz azidi kumpelekea Moto Burnaboy tuzo za BET

Diamond Platnumz azidi kumpelekea Moto Burnaboy tuzo za BET

Umechelewa sana kujua mdau

Kabla hujamzalia rayvan Tayar ushaanza kujitongozesha kwa shemeji mtu? We mwanamke kwel ni mtumbad.

Watu wanajiropokea ropokea tu..

Huyu Aya Nakamura ni hatari..ana nyimbo zenye views 700m+,300m+..inshort ana balaa huyu mtoto wa Kifaransa aliyetokea Gabon.

Ila pia itakuwa maajabu kwa mshindi wa Grammy wa Album bora kutokupata hii ya BET inter. Act

Kwani Mleta mada anaripoti akiwa wapi pengine yupo mitaa ya mama kimbo

Serikali isaidie vijana wapate ajira na kuacha kufanya upumbavu kama huu

Wewe ni kilaza hizo like zinauhusiano gani??!
Mnateseka mkiwa wapi wazee...!!! Tunaendelea kumsukumia Moto Burnaboy mpak na mashabiki zake ...na tukichukua mhame hii nchi mwende Kwa Burnaboy ..!!
 
[emoji28][emoji28] View attachment 1809335
Screenshot_2021-06-05_192656-1.jpg
View attachment 1809336
 
Wewe ni kilaza hizo like zinauhusiano gani??!
Geuza simu yako , alaf ujipige kifuani useme .."Mimi ni tabulalarasa "...!! Rudia hvo mara tatu na ubongo wako utafunguka
 
Mkuu voting inaanza rasmi June 7, 2021.
Jua linazidi kuchomoza Kwa mtanzania Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET dhidi ya nguli wa Mziki Burna Boy ...

Akiwa under high criticism kuhusu support kwenye nchi yake mwenyewe nguli huyu wa Bongo fleva asiyejua kukata tamaa wala kupumzika ameendelea kupambana to the bitter end... Na sasa matunda yameanza kuonekana .....

Mashabiki zake wamedhidi kumpambania "Fiercely to the last " ili kushawishi tuzo hyo itue bongo land....

Tunaendelea kumtakia kila lakheri, shujaa wa Africa 🙏View attachment 1808849
 
Mmmmh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
IMG-20210605-WA0213.jpg
 
Hivi we kima unamjua Burna Boy?huyo hizo tuzo zote anazo grammy sijui nini za zamani hata hiyo ya sasa hawezi shoboka nayo.
Tuliza matako wewe
 
Jua linazidi kuchomoza Kwa mtanzania Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET dhidi ya nguli wa Mziki Burna Boy ...

Akiwa under high criticism kuhusu support kwenye nchi yake mwenyewe nguli huyu wa Bongo fleva asiyejua kukata tamaa wala kupumzika ameendelea kupambana to the bitter end... Na sasa matunda yameanza kuonekana .....

Mashabiki zake wamedhidi kumpambania "Fiercely to the last " ili kushawishi tuzo hyo itue bongo land....

Tunaendelea kumtakia kila lakheri, shujaa wa Africa 🙏View attachment 1808849
Umejidharirsha sana aisee
 
Hivi we kima unamjua Burna Boy?huyo hizo tuzo zote anazo grammy sijui nini za zamani hata hiyo ya sasa hawezi shoboka nayo.
Tuliza matako wewe
Unademka Sana , unataka nimjue Burna boy ili iweje we mla ugoko wa tandahimba....!!! Hebu kaa pembeni kabisa we tikiti maji
 
Back
Top Bottom