Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Acha kupelekewa moto kizembeNi kwamba tupo against Diamond na mtu ambaye anatujia akilini chap ni Burna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupelekewa moto kizembeNi kwamba tupo against Diamond na mtu ambaye anatujia akilini chap ni Burna
Ila wabongo bila aibu wanampinga mtanzania mwenzao utafikiri mashogaHawajui Wanaigeria walivyo na uzalendo Kwenye vyao.
Umelazimishwa kufungua uzi?Usitukere na Sadala wako chalii, wana JF tupo bussy kwa Kigwangalla na Posh sasa hivi.
Shoga ni Yule anaesimama na Serikali na sio wananchi. Mtafaruku WA juzi Nigeria wasanii waliingia barabarani na wananchi. Sisi WA kwetu wanaimba ' Acha nikae kimya'.Ila wabongo bila aibu wanampinga mtanzania mwenzao utafikiri mashoga
Shoga ni Yule anaesimama na Serikali na sio wananchi. Mtafaruku WA juzi Nigeria wasanii waliingia barabarani na wananchi. Sisi WA kwetu wanaimba ' Acha nikae kimya'.Ila wabongo bila aibu wanampinga mtanzania mwenzao utafikiri mashoga
Ndiyo kura hizo.Sema hujui tuKwani hizo likes ndo kura zenyewe au!?
Kwani kuna mtu kakuita humu mkuu? Vumilia tu hayo maumivu ndio haki ilivyo.😂😀Usitukere na Sadala wako chalii, wana JF tupo bussy kwa Kigwangalla na Posh sasa hivi.
Mbona unakuwa na mihemuko mkuu?Zile petition za dada yenu Maria ndio kura zenyewe au ?
Mihemko mnayo nyinyi ma robot wa KigogoMbona unakuwa na mihemuko mkuu?
Nyinyi wananchi mliingia barabarani kumpinga Magufuli au mnawashwa washwa tu na shobo dundo zenu ?Shoga ni Yule anaesimama na Serikali na sio wananchi. Mtafaruku WA juzi Nigeria wasanii waliingia barabarani na wananchi. Sisi WA kwetu wanaimba ' Acha nikae kimya'.
Hivi Diamond kaanza kujichubua kama Mama yake?Jua linazidi kuchomoza Kwa mtanzania Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET dhidi ya nguli wa Mziki Burna Boy ...
Akiwa under high criticism kuhusu support kwenye nchi yake mwenyewe nguli huyu wa Bongo fleva asiyejua kukata tamaa wala kupumzika ameendelea kupambana to the bitter end... Na sasa matunda yameanza kuonekana .....
Mashabiki zake wamedhidi kumpambania "Fiercely to the last " ili kushawishi tuzo hyo itue bongo land....
Tunaendelea kumtakia kila lakheri, shujaa wa Africa 🙏View attachment 1808849
Anatumia simu ya mama yakeHuyu mleta mada kunatatizo mahali[emoji23][emoji23]
Hizi ndizo akili halisi za MATAGA kama alivyokuwa boss wao yule wa "Saddam Hussein ni rais wa Kuwait"!!Jua linazidi kuchomoza Kwa mtanzania Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET dhidi ya nguli wa Mziki Burna Boy ...
Akiwa under high criticism kuhusu support kwenye nchi yake mwenyewe nguli huyu wa Bongo fleva asiyejua kukata tamaa wala kupumzika ameendelea kupambana to the bitter end... Na sasa matunda yameanza kuonekana .....
Mashabiki zake wamedhidi kumpambania "Fiercely to the last " ili kushawishi tuzo hyo itue bongo land....
Tunaendelea kumtakia kila lakheri, shujaa wa Africa [emoji120]View attachment 1808849