Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Diamond anachukua hii tuzo
Chadema sijui wataweka wapi nyuso zao Kama SI ubelgiji
Chadema sijui wataweka wapi nyuso zao Kama SI ubelgiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi jua maana uwezo wako ndipo ulipoishiaNinejidharirisha kiaje we kilaza
Baba levo na wewe kwa kujipandsha hujamboWe ndo popoma , soma vizur nilichoandika we mwehu
Lini unamzalia sasa huyo boss wako?Tunajipandisha nn asa , unakrupuka tuu hata hoja huna ....!! Nenda shule kasome geography topic moja inaitwa climatology , ni topic inayofungua ubongo Kwa watu vilaza kama wewe
Duuuh umeamua kukata mzizi wa fitina kabisa.S0672/0227/2007
Nenda web ya necta alafu urudi hapa pimbi wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahUzi bila picha haunogiView attachment 1809649
Naam mkuu huyo mtoto na Burna ndio nawaona washindi wa hii tuzo kabisaWatu wanajiropokea ropokea tu..
Huyu Aya Nakamura ni hatari..ana nyimbo zenye views 700m+,300m+..inshort ana balaa huyu mtoto wa Kifaransa aliyetokea Gabon.
Ila pia itakuwa maajabu kwa mshindi wa Grammy wa Album bora kutokupata hii ya BET inter. Act
Umeulizwa likes ndiyo kura? 🤣🤣 Jamani km hukijui vzr unachotetea bora ukakaa tu kimya.Jua linazidi kuchomoza Kwa mtanzania Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET dhidi ya nguli wa Mziki Burna Boy ...
Akiwa under high criticism kuhusu support kwenye nchi yake mwenyewe nguli huyu wa Bongo fleva asiyejua kukata tamaa wala kupumzika ameendelea kupambana to the bitter end... Na sasa matunda yameanza kuonekana .....
Mashabiki zake wamedhidi kumpambania "Fiercely to the last " ili kushawishi tuzo hyo itue bongo land....
Tunaendelea kumtakia kila lakheri, shujaa wa Africa 🙏View attachment 1808849
Visit change.orgTunapigaje kura sisi wazalendo wa tz
Niliambiwa nimepata zero form four. Nikaona isiwe shida. Bahati nzuri by 2007 majina yalikua yanawekwa publicDuuuh umeamua kukata mzizi wa fitina kabisa.
Ndio likes ndo kura mkuuUmeulizwa likes ndiyo kura? 🤣🤣 Jamani km hukijui vzr unachotetea bora ukakaa tu kimya.
Zile petition za dada yenu Maria ndio kura zenyewe au ?Kwani hizo likes ndo kura zenyewe au!?
Mitandaoni kuna mafaler ambao akili zao zimeshikwa na wakina Maria, Mwijaku , kigogo na wengine wenye husda kama hao vichaaKwani kura zinapigwaje,maana Mwijaku na kigogo walisema kura zote kwa Burnaboy