Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Huko ni kukichosha chanzo changu. Nimewahi kukiomba kimsaidie msanii mwingine kwenye case kama hiihii ya madawa, njia hii niliyoitumia ndio sahihi kwangu.
 
Kumbe bado hujamwona akitumia bali umeambiwa...hivyo unasikia tu bado

"Chimbo" uliloingia halijakusaidia kwa hakika
 
Kwa ile afya aliyo nayo sasa kwenye hii nyimbo mpya aliyoimba na Kofii mwezi uliopita mimi Buskdokta kwa uzoefu wangu wa miti shamba ni ngumu kuamini kwamba jama Hali Sembe.
Mkuu umenena vizuri. Kwa Sisi wazoefu ule wimbo wa Achii umetoa majibu yote. Halafu hii mada siyo ya Kwanza kuhusu Mondi. Kipindi cha Makonda aliitwa Central police kama Mtumiaji ili aeleze anakopata. Iliishia juujuu tukiambiwa kuwa ushahidi ulikosekana. Si kweli. Kijana tumeshampoteza kabisa.
 
Yeah wimbo huo huo Achii
 
Kwa sie ambao tuna ndugu walipotelea huko kwenye haya madawa wala hatuna shaka na utumiaji wa dawa kwa mdogo wetu na jirani yetu wa hapo muhalitani(tandale magharibi) jina kongwe hili, na yeye anawajua watu gani pale mtaani walianza kusemwa wanatumia madawa na watu tulipinga ila mwisho wa siku muda ulisema ukweli wote.

Pale mtaani kwetu tandale Nasibu anawajua vizuri tuu watu waliokuwa na tetesi kama hizi zake.
Kuna kipindi miaka kama nane au saba niliambiwa na afisa mmoja hivi wa mamlaka fulani kuhusiana na usafirishaji wa haya madude kutoka SA kupitia K...mu boda huyu dogo anahusika na kwa sasa ni dhahiri yaliyokuwa yakisemwa sasa yanakuja hadharani kidogo kidogo na muda utatuwekea haya bayana.

Ukweli usemwe watu waache unafiki kama ilivyo hapa wamekuja wengi kupinga na kukemea hawa ni watu wenye manufaa na hiyo biashara au wanamuombea mabaya zaidi huyu dogo.
Binafsi mdogo wangu alipotea na tulishamtafuta hatukumpata popote pale na shida na hayo hayo madawa hivyo kwa hali ya jirani yangu huyu ni sawa sawa na alivyokuwa mdogo wangu, sina cha kusema sana ila asaidiwe kama atakuwa tayari kujitoa kwenye hiyo hali.
 
Waitengeneze aisee itasaidia sana hata wale wa heroin wakitengenezewa tutaokoa watu wengi sana. Madawa ya kulevya mimi huwa nayaweka kundi moja na njaa na ugonjwa, they are worse things to ever happen in human kind era.

Tatizo cartels zitakubali? A question for another day…
 
Mpaka sasa bado naumia. Wakati naulizia habari zake nilisisitiza nataka niambiwe sio kweli.
Ni habari iliyoniumiza sana, Mungu aingilie kati aache na kupona kabisa.
 
Kuna siku alitembea na boxer na miwani ya kumpigia mbizi kwenye swimming pool,hapo ndio nilijua huyu mwamba Kuna kitu amelamba.....nilisikia unga ni kama nyeto sa itakuwaje?
Nyeto ukioa au kuolewa unaacha
Kama bado ujaacha basi ujaolewa
 
Aliyeitwa ni romy jones sio mond
 
Sasa yeye peke yake ataweza nini? Unajua hii thread imewafikia wangapi?
Ningetaka sifa ningeileta kwa namna ya onyo/ombi?
Si ningeleta kama umbea kwani ungenifanya nini?
Kwani pamoja ivyo nimekufanya nini? Mimi nataka wewe u deal na hicho chanzo kikishindwa ndio uje hapa kumwambia kama kweli nia ilikia kumsaidia. Otherwise uko hapa ili ionekane na wewe ulisema which is sikulaumu kwa lolote. Endelea
 
Nilidhani una habari kuubwa iliyokutia uchungu unaosema, kumbe ni Diamond kula ngada!

Kwani Tuna Wala ngada wangapi nchini na hao hawajakutia uchungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…