Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Ile siku ya parade la Yanga ndipo niliposhtuka na mimi, ni kama alikuwa high.
Niliogopa sana
Yeaaaah he was…..lean ni noma sana kuna siku lil wayne alibugia lean ya kutosha sasa akaitwa kwenye interview ye kila kitu ye anasema I dont know and he had this weird look na hiyo look ndio kama ile ya mondi that day. Hawa machalii wanahustle hard wanapata hela alafu wanakuja kuwa maslave wa makingpin/druglords mbaya sana aisee
 
Diamond anatumia heroine class 1 siyo hilo vumbi la mateja wa Kinondoni Manyanya au Temeke Mwisho. Na hicho ndiyo kipimo cha hela. Huwezi kula heroine ya Diamond kama huna hela.

Muache a enjoy ndiyo wakati wake. Kufa hata wewe unayekunywa uji na juice utakufa tu. Wacha wivu
 
Diamond sio kwamba Madawa ya kulevya yanamharibu ila nikwamba mda wake umefika. Peak yake ndo imeisha sasa anaanza kudrop taratibu mpaka atabaki jina. Amini diamond platnumz akishuka atashuka na wengi sana wale wote ambao ummarafu wao unamtegemea diamond platnumz.
 
Kama Marekani na nchi zenye mifumo thabiti ya kiusalama ngada Bado Inatembezwa kama Kawa huku uswekeni dawa kama kawaida zitatuua kama tusipojitoa kwenye utumiaji!


Kila kitu huanza na tetesi!


Nakumbuka kipindi chidi benzi anaanza kubwia unga alikuwa anapinga kama kala pilipili kichaa Kwa hasira ila kwasasa ukikutana nae kaisha kawa kama mshale wa kuwindia sungura mbugani!



Muda utaongea

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Kama malaria inauzwa na ukaenda kuinunua Sina huruma na wewe!


Same Kwa huyo diamond anatoa Hela yake mfukoni anaenda kununua kitu Kila mtu anajua no hatari!


Ni sawa na mvuta sigara imeandikwa kabisa ni hatari akiumwa akafie mbali huko.

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Certified idiot

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mbona hiyo wasafi media miongoni mwa shareholders ni mke wa Joseph kusaga anaemiliki clouds... Sasa hao clouds wanataka kuiua wasafi media Kwa minajiri Gani ?




Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni matacore shwaini wewe eti ni Bora drugs unaweza i-overtake !


Mpumbavu wewe


Whitney Houston kafa kisa madawa


DMX tumempoteza


Diego almando Maradona


Langa kileo tulimzika kisa madawa


Dj Avicci tumempoteza kisa madawa



Wewe matacore usiekuwa na utu unakuja kuonesha upumbavu wako eti drugs unaweza overcome kuliko biashara!


Matacore wewe umenikera sana hujawahi kuwa na wahanga wa madawa mbwa wewe!


Hivi uliwahi kumuona ray C kipindi anasinzia pale Mwananyamala hospital kwenye foleni ya Methadone?


Umekutana na chid benzi umuone alivyo?



Mbwa matako wewe

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Umesoma wanazuoni wa saikolojia wanavyoelezea uraibu kamanugonjwa?

Au unaongelea kwa uzoefu wako tu na ujinga wa kukosa kujiongeza?

Si kila mtu anaweza kuwa na mental resiliency sawa, unaelewa hilo?

Na kukosa hiyo mental resiliency ndiyo sehemu ya ugonjwa wenyewe.

Unaelewa hilo?

Ukichofanya hapo ni sawa na mzungu aliyetoka Ulaya ambako hakuna Malaria halafu akaanza kuwalaumu Watanzania wanaokaa Tanzania kwenye Malaria kwa kusema kwa nini unaishi nchi yenye Malaria? Bila ya kuelewa kwamba labda yeye kwao Ulaya kuna baridi mbu hawawezi kuishi, si sawa na Tanzania ambako mbu kibao wanaishi.
 
Ni kweli nilikuwa na washkaji wa south
Bangi na pombe ni weekend tu
Wanasema ukitumia mara kwa mara unakuwa adicted na unakuwa unatumia nyingi ili kupata stem lakini ukivuta mara chache kidogo tu inakutosha inakufanya uwe stem

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
domo ameharibu watoto wengi sana na manyimbo yake ya freemason, abadilike kabla hajapata malipo hapahapa duniani.
 
Pointi Yako ina mashiko ila umeharibu kutukana
 
Matacore ni mama ako
 
Acha vichekesho ndugu, msanii gani anayemkaribia Diamond kwa mafanikio na hatua anazopiga kwenye muziki? Tuzo tu anazoshinda na nominations hakuna msanii bongo amewahi kuzipata ukiacha mauzo ya kazi zake pamoja na endorsement..... au ww peak ya msanii ni kuongelewa na carrymastory na kusifiwa na Mange?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…