Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Bidhaa alizouza kwa wenyewe bei yake ndio inamfikisha hapo labda aongeze bidhaa zaidi kwa wenyewe ndio atatusua zaidi ya hapo,lakini pia washamwona hana Cha maana sana wamempimia level hiyo ndio kiasi chake na hata akiongeza mzigo kwa wenyewe watampimia kidogo tu hatoweza fika level za kina wizkidayo au burna boy.
Hapo ndio kwishne.
 
Huo ni ukweli mchungu, mwamba alianza kwenye upunda na sasa kaamua alambe kabisa, wanavyoanza wanasema wanapandisha energy wakishakua addicted ndio vile tena....
Wasi wasi wangu asije akamuharibu na kale kabinti
Maana ya Binti ni [bikra], Zuu kishafumuliwa mda sana toka Diamond alipoimba collabo na mama mkwe wake hapa ndipo Diamond alizawadiwa Katoto na akakata Utepe.
View: https://www.youtube.com/watch?v=k5BZiM1pggE
 
Muwe mnaelewa mambo nyie!si mnasema wanaume tafuteni hela!!? Sasa utafutaji una namna nyingi na hiyo namna ndio inayomtesa simba hadi atumie hayo makitu!!

Utajiri ni siri na siri ya utajiri ndio utajiri yenyewe!!

Anahesabu siku na masaaa,lazima arnde walau kwa style hiyo huko anapopaswa kwenda akatumike baada ya utajirisho!!!

Mtupende wanaume acheni kututia presha za utafutaji hadi tunauza nafsi!!
 
Mwenyewe nilijizuia kucheka hapo kwenye chanzo changu, kwakuwa ni habari ya kusikitisha sana nikaacha.

Amen 🙏🏽
 
Aya yako ya kwanza haina ukweli bwana, halafu wala Diamond hana mpango na Zari kihivyo.
Aya ya pili ndio umetisha 👏🏽👏🏽
 
Mtu anapata wapi ujasiri wa kumfatilia kiasi cha kujibu hoja za mtu anayefatilia maisha ya watu?
 
Asante darling.
 
Inaumiza sana huyu mwamba aki drop maana ana tu motivate wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…