Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto na Nandy wahojiwa na Polisi kwa kusambaza video za faragha, wapewa dhamana...

Wewe ndio unatutoa kwenye reli. Hapa tunajadili msanii Naseeb kukamatwa na polisi. Hayo mambo ya CAG sijui nini anzisha uzi wake tutajadili huko.
Kukamatwa kwa Dimond na ripoti ya CAG chenye maslahi kwa taifa ni kipi?
 
Wakuuu nimesikia kuwa diamond na nandy watapelekwa mahakani Kwa kosa la maadili OK nandy najua ni kufanya ngono kinyume na maumbile tena hadharani Lakini hiii Ya diamond sijainyaka naomba kujulishwa huyu Kijana diamond kafanyaje tena?
 
''''OK nandy najua ni kufanya ngono kinyume na maumbile tena hadharani'''


mmmh hii mpya kwangu
 
Wewe ndio unatutoa kwenye reli. Hapa tunajadili msanii Naseeb kukamatwa na polisi. Hayo mambo ya CAG sijui nini anzisha uzi wake tutajadili huko.
Ndiyo uwezo wa kitanzania huo ndugu yangu,habari moja wakati mmoja.Huwa hatuwezi mambo mawili ila tunataka maendeleo.
 
We umemuona alivyokamatwa au ni matamshi tu kama matamshi mengine kweli diamond akamatwe isipigwe ata picha moja kama evidence.?
 
Amefika hapo na kuitwa 'kioo cha jamii' kwa kufanya hayo unayoyasema. Tuwashangae wanaomshangaa. Bila hayo hakuna Diamond!
 
Duh! Umeongea kwa hasira kwelikweli
 
wasitufanye watoto, tushachoka na drama zao, watafute vitu vya maana vya kufanya
watengeneza script wao wacheza sinema wao
 
Waambie kiki yao ishabuma hawawezi kumkamata mtoto wa bashite
 

imagine
hawana kazi za kufanya hawa mawaziri, wanakula kodi zetu bure,sijui tumelogwa na nani, wako wanapoteza muda ku discuss chupi ya Nandy na video za Dai
 
Kabla ya kuwalaumu hao wanao jiita ma celeb nadhani tujilaumu sisi kwanza. Tunapenda kutoa airtime kwenye mambo ya kijinga kuliko mambo ya maana na ndio maana watafuta kiki nao wanapitia kwenye hayo hayo ya kijinga ili wapate airtime. Jiulize Jana Diamond kapost matukio kama mawili nayo weza kuyaita makubwa. La kwanza ni hili la kupost ujinga na la pili ni kuonyesha kuwa wallnafanya mazungumzo na startimes nadhani kuhusiana na mambo ya wasafi TV. Sasa jiulizeni kati ya hayo matukio mawili ni lipi limepewa promo na RAIA kuliko jingine? Lipi ni la maana kuliko jingine? Umaarufu alio upata Nandy(japo kwa njia mbovu) baada ya tukio lake na alio kuwa nao kabla ni vitu viwili tofauti. Kwa hiyo wakati wao wanafanya huo ujinga ma sisi ni either kwa kujua auu kuto kujua tuna kuwa tuna support kwa promo tunayo wapa kwenye mitandao.

Note: siungi mkono matendo yao wanayo yafanya.

Ili kukomesha hizi tabia inabidi kupotezea ujinga wowote wanao ufanya. Mfano MTU akipost video chafu watu wasimsambaze kwa kuwa kwakufanya hivyo wanamuongezea umaarufu(japo wa kijinga) inapelekea wengine kuiga . Huo ni mtazamo wangu
 
Ndo maana suala la kusema Diamond anabeba bendera ya Tanzania, Diamond ni kioo cha jamii, wengine tuliipinga kwa udi na uvumba.

Matatizo ya vi nchi vichanga visivyojielewa. Chriss Brown au 50 cent akienda kutumbuiza UK wamarekani hawasemi amebeba bendera ya Marekani au ni kioo cha jamii ya Marekani. Mnakabidhi bendera halafu siku akitoa picha la pono mnafanyaje, mtasema pono ni reflection ya utamaduni wetu?
 
Labda kosa ni kuvaa kufuli oversize.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…