Diamond Platnumz hili la kumfananisha demu (msichana) wako na Yesu (Mungu) utuombe radhi wakristo na utubu au wimbo wake ufungiwe na BASATA

Dai ni Freemason na ana pepo la Uasherati, kila anayetembea naye anaharibikiwa, na haolewi.
Mwanamke unayekubali ku-michwa na Dai huolewi.
Hesabu kuanzia " kialama", "Wama Sapatwa" , Ze Buss Zali", Amisi Mabito",
na wenzake wengi, hawaolewi
 
Dai ni Freemason na ana pepo la Uasherati, kila anayetembea naye anaharibikiwa, na haolewi.
Mwanamke unayekubali ku-michwa na Dai huolewi.
Hesabu kuanzia " kialama", "Wama Sapatwa" , Ze Buss Zali", Amisi Mabito",
na wenzake wengi, hawaolewi
Kwahiyo kutoolewa Ni ufreemason? basi Freemason wapo wengi Sana.
 
Qummk [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Kama unataka nitakupa full story. Jamaa si alikuwa fundi selemara, sasa ilikuwaje kapelekwa mahakamani (kwa Pilato) huku kabeba mbao zake. Kuna neno hapo, fikiria mara mbili kabla ujajiumiza kichwa.
 
Dai ni Freemason na ana pepo la Uasherati, kila anayetembea naye anaharibikiwa, na haolewi.
Mwanamke unayekubali ku-michwa na Dai huolewi.
Hesabu kuanzia " kialama", "Wama Sapatwa" , Ze Buss Zali", Amisi Mabito",
na wenzake wengi, hawaolewi


Okay, tuwekee picha ya mumeo ambae. amekuwowa.
 
nimeandika nikafuta, anyway kupanga ni kuchagua,haya ni maisha yako lakini nakushauri usiwahi kuropoka hayo maneno mbele za watu,ishia huku tu


Wewe ni stupid mmoja hivi ambae umeenda shule kuhesa vidato ukaacha elimu ikutawale badala ya upata majibu kutokana na elimu unsyosumbua kichwa yako kila siku. If you believe on Jesus or Mohammed, it's clear, you're stupid. Do we need excuse for this? No, you're a plain stupid.
 
Jamaa anawapeleka puta left, right and center mpaka mseme bas!
Utakuta hiyo verse kaiweka makusudi akijua mtakomalia kujadili.
Acoustic simple tu atapata kiki kubwa, views nyingi, mkwanja, maisha yanaendelea....hata kama ikifungiwa kiki tayari....
 
Wakristo sie wapole sana ingekua waislamu muda huu kijana angekua keshaharibiwa sura na vitisho kibao vya kusomewa albadir.

Domo mpuuzi halafu mdini balaa hapo ndipo kaonyesha rangi yake halisi.
We nae unitishi
 
Ile ya Jiwe alivyoitwa kwamba yeye ni Yesu vipi na ile? Au ile ni sawa?!
 
Ile ya Jiwe alivyoitwa kwamba yeye ni Yesu vipi na ile? Au ile ni sawa?!
 
Wakristo sie wapole sana ingekua waislamu muda huu kijana angekua keshaharibiwa sura na vitisho kibao vya kusomewa albadir.

Domo mpuuzi halafu mdini balaa hapo ndipo kaonyesha rangi yake halisi.
Ile ya Jiwe alivyoitwa kwamba yeye ni Yesu vipi na ile? Au ile ni sawa?!
 
Unaongea kishabiki, kangi alikemewa kwa maneno yake embu uwe mtu wa kuchunguza ndio unaongea sio unaropoka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…