Uko sahihi... vyovyote waweza valishwaUko sahihi ila siwapendi madesigner wengi ni mashoga,bora nijichagulie mwenyewe casual smart
JUX nakuunga mkono
Kubali kataa hujui kuvaa, siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove, hujui kuvaa, cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea niueni ila hajui kuvaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uko sahihi ila siwapendi madesigner wengi ni mashoga,bora nijichagulie mwenyewe casual smart