Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini mbaya sana🤣🤣Chawa mwingine
Hehe..ukweli mchungu ni kwamba huyu Kiba wetu hayupo mtu nje ya mipaka ya Tanzania ataemwangalia kavaa nini.Kiba anavaa simple tu.ndio inavyotakiwa
Tasnia ya uanaume ina momonyoka kwa kas ya ajabuMan Down
Simple wanavaa matajiri wasiotaka show off, wazee wa mambo yasiwe mengi wala mengi yasiwe mambo.Simple wanavaa mafundi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nguo za kuchaguliwa na mama mzazi
Noel Ndale. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamitindo yupi anamvalisha huyu kijana???
Wanaume tumezidi kuwa wachache kabisaMwanaume analalamika mwanaume mwenzie hajui kuvaa , halafu mwanaume huyu anasifia mwanaume mwengine alivyovaa. Haya leta picha yako tuone unavyovaa
Unajifanya mwanaume halafu unaomba serikali ikulinde Kama sio upunga ni nini? Mwanaume analindwa toka lini???Huu uzi umeletwa na me au ke?
Kama ni me, basi naiomba serikali itulinde me.