Inategemea na unaongelea nani.
Kuna watu wengi kwenye hip hop wanatumia magari ya kukodi.
Pia, mimi sisemi kwamba hip hop stars hawana hela za kununua magari au vito vya thamani.
Nasema kwamba, kwenye hip hop mtu kuvaa fake gold si kitu cha ajabu, hawa big stars wote ama at one point wamevaa, ama bado wanavaa.
Kuna mi chain fulani ukiiangalia unaona kabisa hii ni gold plated, kwa sababu ingekuwa real gold ingekuwa mizito sana.
In trying to keep up, most rappers end up buying and wearing fake jewelry. Some even go to the extent of renting out the flashy jewelry just to look the part.
www.afashionblog.com