Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Hayo mapete huwa ni ya uganga(ushirikina). Yanahusishwa na majini.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola milioni mbili na laki tano.Saa Billion 5!? Au typing errors!?
Ni kama tu ushamba wako wa kuzani kila mtu anatumia tecno/infinix kama wewesim yenyewe una tumia tecno/infinix ambayo hata gharama yake haizidi 300k ila umeshupaza shingo kukomaa kua diamond ana vaa vitu feki reference yako n page ambayo hata haiko verified instagram n kama page za kina carrymastory ama jay
tuache huu ushamba wa kushadadia vitu
period!!...
Kwaio hapo au kina richard mavoko sijui miller,mbona hawajamtaja diamond?Akiwa Marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni, mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.
Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald “Mask” Tourbillon Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.
😂😂😂Aise! Mim naonaga kuvaa micheni shingoni ni ushamba tu. Huyu jamaa na mtoto wake konde boy bado wana pigo za kiwaki sana.. kwenye suala la mitupio king kiba anajitahidi sana
That it. wiz amemaliza Kila kitu
hongera kwa kutumia iphone za makumbushoNi kama tu ushamba wako wa kuzani kila mtu anatumia tecno/infinix kama wewe
Burundi mbali.. hapo Kisarawe tu kwenye hitma ya babu yake lazima tumchangie nauliHahhahaha
Mtu anamponda wakati yeye kwenda hapo
Burundi mtihani
Ova
msamehe bure. kwa kuwa anaishi marekani basi anadhani kila atakacho zungumza kuhusu maceleb wa kimarekani kitakuwa genuine na tutakiamini.Kuvaa fake ni kwa ma brokeass celebrities ila Nas na 2pac hawajavaa fake peleka uongo wako. Pac alishawahi kuwa set up hadi akaanzisha bifu kubwa baada ya kumvamia akitokea studio na kumpora cheni kubwa ya gold.
Kwaiyo kumbe wewe unaonaga cheni za kina migos, Quavo na wenzingine akina Mayweather ni feki? Eti Symbolic [emoji30], Ulizia Jackob the jeweler wa new york ndo anaewatengenezea ma star wengi micheni mikubwa ile na wanalipia pesa nyingi sana hadi wengine wana madeni.
Kama una mtetea msanii wako wewe tetea ila usiseme eti wasanii wa mbele wanavaa feki utachekwa.
😂😂😂 you're not serious mkuuHao ma hip-hoppers wa Marekani wote wamevaa fake gold na hilo linajulikana kiasi kwamba its a non issue.
Yani mnafikiri yale ma heavy gold chain waliyovaa kina LL Cool J, Slick Rick, Big Daddy Kane, Heavy D, Biggie, 2Pac, Nas, etc ni real gold?
Hizo heavy gold chains ni symbolic, hazitakiwi kuchukuliwa kama authentic.
Ungekuwa serious ungejibu kwa mifano, angalia album covers za hao watu niliowataja na picha zao, halafu tujadili kwa fact.😂😂😂 you're not serious mkuu
allureice.com
Si muumini wa fake jewelry au vito kwa ujumla lakini swali langu kwako kama wanaweza tundika vito fake inakuwaje kwenye magari waliyo nayo?Ungekuwa serious ungejibu kwa mifano, angalia album covers za hao watu niliowataja na picha zao, halafu tujadili kwa fact.
![]()
Fake Jewelry in the Hip Hop Industry
The everyday person does not own any extensive pieces of jewelry. It is looked at as a luxury that only a few can afford. Those that have it, love to show it off. Those that don’t have it, watch in awe. Expensive pieces of jewelry is not something new to the Hip Hop industry. Rappers love to...allureice.com
My5
www.bet.com
Hacha uongo basiAme re tweet jana [emoji23][emoji23][emoji115]View attachment 1843784