Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

sim yenyewe una tumia tecno/infinix ambayo hata gharama yake haizidi 300k ila umeshupaza shingo kukomaa kua diamond ana vaa vitu feki reference yako n page ambayo hata haiko verified instagram n kama page za kina carrymastory ama jay

tuache huu ushamba wa kushadadia vitu
period!!...
Ni kama tu ushamba wako wa kuzani kila mtu anatumia tecno/infinix kama wewe
 
Akiwa Marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni, mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.

Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald “Mask” Tourbillon Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.

Kwaio hapo au kina richard mavoko sijui miller,mbona hawajamtaja diamond?
 
Diamond ndo kioo cha jamii , sa hv hata akijamba , media zote zinaongelea , wapo watakaosifu na wapo watakaoponda ...
 
Aise! Mim naonaga kuvaa micheni shingoni ni ushamba tu. Huyu jamaa na mtoto wake konde boy bado wana pigo za kiwaki sana.. kwenye suala la mitupio king kiba anajitahidi sana
😂😂😂

image.jpeg
 
Kuvaa fake ni kwa ma brokeass celebrities ila Nas na 2pac hawajavaa fake peleka uongo wako. Pac alishawahi kuwa set up hadi akaanzisha bifu kubwa baada ya kumvamia akitokea studio na kumpora cheni kubwa ya gold.

Kwaiyo kumbe wewe unaonaga cheni za kina migos, Quavo na wenzingine akina Mayweather ni feki? Eti Symbolic [emoji30], Ulizia Jackob the jeweler wa new york ndo anaewatengenezea ma star wengi micheni mikubwa ile na wanalipia pesa nyingi sana hadi wengine wana madeni.

Kama una mtetea msanii wako wewe tetea ila usiseme eti wasanii wa mbele wanavaa feki utachekwa.
msamehe bure. kwa kuwa anaishi marekani basi anadhani kila atakacho zungumza kuhusu maceleb wa kimarekani kitakuwa genuine na tutakiamini.

mtu kama Nas avae cheni mdosho kwasababu za kijinga eti symbolic!!?....ku symbolize nini?.
hapana aise, babu Kiranga umetulisha tango pori. najua sio kosa lako,kosa lako ni umri. umri umesonga huo mzee, ndio maana umetaja watu wa generation yako ikina LL Cool J, Slick Rick, Big Daddy Kane, Heavy D.[emoji1787][emoji1787]

mijadala mingine ipotezee, waachie vijana.[emoji1787][emoji1787]
 
Hao ma hip-hoppers wa Marekani wote wamevaa fake gold na hilo linajulikana kiasi kwamba its a non issue.

Yani mnafikiri yale ma heavy gold chain waliyovaa kina LL Cool J, Slick Rick, Big Daddy Kane, Heavy D, Biggie, 2Pac, Nas, etc ni real gold?

Hizo heavy gold chains ni symbolic, hazitakiwi kuchukuliwa kama authentic.
😂😂😂 you're not serious mkuu
 
😂😂😂 you're not serious mkuu
Ungekuwa serious ungejibu kwa mifano, angalia album covers za hao watu niliowataja na picha zao, halafu tujadili kwa fact.


 
Ungekuwa serious ungejibu kwa mifano, angalia album covers za hao watu niliowataja na picha zao, halafu tujadili kwa fact.


Si muumini wa fake jewelry au vito kwa ujumla lakini swali langu kwako kama wanaweza tundika vito fake inakuwaje kwenye magari waliyo nayo?
 
Back
Top Bottom