Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

nampongeza sana kwa hatua za kukutana na huyo mtaaalamu anayeheshimika duniani....hata mchizi DMX ameenda kaburini huku akimheshimu huyo jamaa. hits zake zote zilizohit vibaya dunia nzima huyo ndo mtengezaji.

alichoninikera diamond (najua hainihusu lkn nasema tu);
1. uvaaji wa micheni usiokuwa na maana kwa sasa naona kama umepitwa na wakati.....watu wanakuwa simple tu. ukifanya hivyo unaonekana kama mshamba flani hivi.
2. pozi zinazosema 'nioneni'. ukiwaangalia hao wawili unaona kabisa pozi yake diamond ni ya kuchamba, yaani ni pozi ya mswahili. huyo swizz beats anaonekana yuko relaxed, yuko real...
Aisee kuna video kaipost instastory yake yani yuko kwenye rooftop party na kina swizzbeats, akon, na busta ila yeye yuko busy kupiga mapicha na mpiga picha wake lukamba hadi kina busta wanacheka kuna sehemu swizz kama ana inama chini kwa aibu, yani mondi ni kama anarekodi utafukili mwisho wa dunia unakaribia.
Alafu dresscode sasa wenzio wako simple na ma tshirt ila yeye kavaa koti kama michael jackson alafu tumbo liko wazi na mabuti yake ya kupandia farasi ya Lil Nas X yule shoga. Yaani ukiangalia utaona aibu.
 

Attachments

  • Screenshot_2021-07-05-16-58-51-42.jpg
    Screenshot_2021-07-05-16-58-51-42.jpg
    28.2 KB · Views: 4
Aisee kuna video kaipost instastory yake yani yuko kwenye rooftop party na kina swizzbeats, akon, na busta ila yeye yuko busy kupiga mapicha na mpiga picha wake lukamba hadi kina busta wanacheka kuna sehemu swizz kama ana inama chini kwa aibu, yani mondi ni kama anarekodi utafukili mwisho wa dunia unakaribia.
Alafu dresscode sasa wenzio wako simple na ma tshirt ila yeye kavaa koti kama michael jackson alafu tumbo liko wazi na mabuti yake ya kupandia farasi ya Lil Nas X yule shoga. Yaani ukiangalia utaona aibu.View attachment 1842440
[emoji23][emoji23][emoji23]..Nchi ngumu sana hii..

So hapo ni kama maasai avamie sherehe sio?
 
Aisee kuna video kaipost instastory yake yani yuko kwenye rooftop party na kina swizzbeats, akon, na busta ila yeye yuko busy kupiga mapicha na mpiga picha wake lukamba hadi kina busta wanacheka kuna sehemu swizz kama ana inama chini kwa aibu, yani mondi ni kama anarekodi utafukili mwisho wa dunia unakaribia.
Alafu dresscode sasa wenzio wako simple na ma tshirt ila yeye kavaa koti kama michael jackson alafu tumbo liko wazi na mabuti yake ya kupandia farasi ya Lil Nas X yule shoga. Yaani ukiangalia utaona aibu.View attachment 1842440
Angevaa kibukta na tishet mngesema mondi amewaaibisha huko ulaya

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
nampongeza sana kwa hatua za kukutana na huyo mtaaalamu anayeheshimika duniani....hata mchizi DMX ameenda kaburini huku akimheshimu huyo jamaa. hits zake zote zilizohit vibaya dunia nzima huyo ndo mtengezaji.

alichoninikera diamond (najua hainihusu lkn nasema tu);
1. uvaaji wa micheni usiokuwa na maana kwa sasa naona kama umepitwa na wakati.....watu wanakuwa simple tu. ukifanya hivyo unaonekana kama mshamba flani hivi.
2. pozi zinazosema 'nioneni'. ukiwaangalia hao wawili unaona kabisa pozi yake diamond ni ya kuchamba, yaani ni pozi ya mswahili. huyo swizz beats anaonekana yuko relaxed, yuko real...
Wewe ndo umepitwa na wakati sasahiv wasanii duniani wanashindana kununua hayo macheni ya shingoni na mapete

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
nampongeza sana kwa hatua za kukutana na huyo mtaaalamu anayeheshimika duniani....hata mchizi DMX ameenda kaburini huku akimheshimu huyo jamaa. hits zake zote zilizohit vibaya dunia nzima huyo ndo mtengezaji.

alichoninikera diamond (najua hainihusu lkn nasema tu);
1. uvaaji wa micheni usiokuwa na maana kwa sasa naona kama umepitwa na wakati.....watu wanakuwa simple tu. ukifanya hivyo unaonekana kama mshamba flani hivi.
2. pozi zinazosema 'nioneni'. ukiwaangalia hao wawili unaona kabisa pozi yake diamond ni ya kuchamba, yaani ni pozi ya mswahili. huyo swizz beats anaonekana yuko relaxed, yuko real...
Unasema uvaaji wa macheni umepitwa na wakati hao ni baadhi ya mastaa wanaovaa macheni je wamepitwa na wakati
DJ Khaled
Drake
Burnaboy
Wizkid
Davido
Migos View attachment 1842543View attachment 1842544View attachment 1842545View attachment 1842546View attachment 1842547
Screenshot_20210705-191026_Instagram.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Akiwa Marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni, mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.

Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald “Mask” Tourbillon Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.

Diamond ni yupi kati ya hao wawili. Na ni mwanamuziki wa wapi.
 
Saa[emoji355] Billion 5 Mweeeeh[emoji85]
5B na millioni 770 kaa hapohapo. Ya Floyd mayweather ni $18 million au Tshs Billioni 41 na millioni 742 au Shillingi 41,742,000,000.00 TZS
 
5 na millioni 770 kaa hapohapo. Ya Floyd mayweather ni $18 million au Tshs Billioni 41 na millioni 742 au Shillingi 41,742,000,000.00 TZS
Maisha hayana chembe ya stress kwa hawa watu[emoji29]
 
Maisha hayana chembe ya stress kwa hawa watu[emoji29]
Naona wewe ukiona huto tu millioni 42 twa mwisho hapo unawaza mjengo wa maana au ndinga kali sana ya kusumbua mjini ila jamaa kwao hizo ni chenji chenji za mwisho mwisho.
 
nampongeza sana kwa hatua za kukutana na huyo mtaaalamu anayeheshimika duniani....hata mchizi DMX ameenda kaburini huku akimheshimu huyo jamaa. hits zake zote zilizohit vibaya dunia nzima huyo ndo mtengezaji.

alichoninikera diamond (najua hainihusu lkn nasema tu);
1. uvaaji wa micheni usiokuwa na maana kwa sasa naona kama umepitwa na wakati.....watu wanakuwa simple tu. ukifanya hivyo unaonekana kama mshamba flani hivi.
2. pozi zinazosema 'nioneni'. ukiwaangalia hao wawili unaona kabisa pozi yake diamond ni ya kuchamba, yaani ni pozi ya mswahili. huyo swizz beats anaonekana yuko relaxed, yuko real...
Fuatilia mambo hili usituletee ushamba wako wa Simiyu hapa...uvaaji wa cheni(ice and bling) ni utamaduni katika muziki hasa muziki wa Hip hop na haujapitwa na wakati kwa sasa ndio inashika trending zaid ya miaka iliyopita.wasanii wote wajanja wanavaa vyeni sisi wengine ni watu wazima kidogo tunafuatilia muziki toka miaka ya 90 lakini pamoja na utu uzima tupo updated tunaelewa fashion za kisasa zinaendaje

FB_IMG_1625341924589.jpg


FB_IMG_1625044180301.jpg


FB_IMG_1625417992709.jpg


FB_IMG_1624472134567.jpg
 
Akiwa Marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni, mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.

Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald “Mask” Tourbillon Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.

Ni wachache sana watakaokuelewa humu.
 
sim yenyewe una tumia tecno/infinix ambayo hata gharama yake haizidi 300k ila umeshupaza shingo kukomaa kua diamond ana vaa vitu feki reference yako n page ambayo hata haiko verified instagram n kama page za kina carrymastory ama jay

tuache huu ushamba wa kushadadia vitu
period!!...
 
Back
Top Bottom