Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan saa bei kubwa hivo na bado inipe shida kune kusoma chaaaaWewe bisha kwa raha zako ila google ni rafiki yako.View attachment 1841359
Nikweli ndio bei zake,😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mambo mengine tucheke tuu..
Una uhakika ndo mana unabeti na unaliwa. Unafikiri kila mtu hapa anaishi Tanzania.instagram mi nina uhakika hata zanzibar hujawahi fika... na hao wataalamu wako nina uhakika wanavaa viatu feki vya pale karume... na ww bila shaka yoyote n mdau mzuri sana wa mitumba pale Mwenge.
sasa unapata wapi ujasiri wa kuwachambua wanaovaa vitu feki na wapo marekani?? vp hapa buza kwenye kijiwe cha bao saa ngapi utatimba!?
Hatari sana jamaa na huo mwili litakua hua linawachakata hatari maana pisi zenye shobo hua zinapenda ma nigga wenye swagga na pigo Kama hizo Aisee!Uyo na snoop ni kama mapacha
Jamani muoneeni huruma tu dogo lenu....kijana bado ni mshamba sana, kumbukeni Tandale si Marekani.....dogo anasumbulia na cultural shock.Akiwa marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni , mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni
Ndiyo walivyo, they lack confidence mpaka waone mpambanaji kawafungulia njia na kuiweka nchi kwenye ramani katika tasnia hiyo yaani in short mpaka Sadala awarahisishie uelekeo wa kupita ndiyo wanaona 'kumbe inawezekana'.Hapa watamponda Sadala ila kesho unaweza ukakuta wao wanalilia kufanya Collabo na Wiz.
Nakumbuka Diamond alivyo enda kufanya Collabo na Davido ,baadae kidogo akaenda kwenye sherehe iliyo andaliwa na P Square wakaponda "...anajipendekeza........anapenda shobo........." hatimae jamaa akapata Collabona Psquare.Leo nao wakarudia kilekile wamesafiri kwenda Nigeria na hatimae wamepata Collabo mmoja wa wasanii wa P Square.
Bullioni tano na millioni mia saba almost billioni sita hiyo saa aliyovaa swizzbeats
😅 Ntakununuliaaa ukinipendaBillion 5 hiyo saa? hayaaa kikubwa uhai 🤣
kumbe Mondi Kwa Wiz ni pimbi tu daa Hilo jamaa nilikua nalichukulia easy kumbe pande la mtu dadeq!
😂😂😂😂
Nasikia kuna maswali yaliibuka kama Diamond ni msanii wa mziki au komediani, mwenye jibu atupe tafadhali!Akiwa Marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni , mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.
Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald “Mask” Tourbillon Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.
Tulia kijana unazungumzia 80s na 90s huko wenzako wako kwenye diamonds mpaka sasa muwakilishi wetu pande za Africa ni Davido mtu mmoja alisikiwa anasema "His taking back the Diamonds to Africa".Hao ma hip-hoppers wa Marekani wote wamevaa fake gold na hilo linajulikana kiasi kwamba its a non issue.
Yani mnafikiri yale ma heavy gold chain waliyovaa kina LL Cool J, Slick Rick, Big Daddy Kane, Heavy D, Biggie, 2Pac, Nas, etc ni real gold?
Hizo heavy gold chains ni symbolic, hazitakiwi kuchukuliwa kama authentic.
KwaiYo unataka kusema ni fake wanavaa sio? Hao kina pac, baggie na wengineHao ma hip-hoppers wa Marekani wote wamevaa fake gold na hilo linajulikana kiasi kwamba its a non issue.
Yani mnafikiri yale ma heavy gold chain waliyovaa kina LL Cool J, Slick Rick, Big Daddy Kane, Heavy D, Biggie, 2Pac, Nas, etc ni real gold?
Hizo heavy gold chains ni symbolic, hazitakiwi kuchukuliwa kama authentic.
Kuvaa fake ni kwa ma brokeass celebrities ila Nas na 2pac hawajavaa fake peleka uongo wako. Pac alishawahi kuwa set up hadi akaanzisha bifu kubwa baada ya kumvamia akitokea studio na kumpora cheni kubwa ya gold.Hao ma hip-hoppers wa Marekani wote wamevaa fake gold na hilo linajulikana kiasi kwamba its a non issue.
Yani mnafikiri yale ma heavy gold chain waliyovaa kina LL Cool J, Slick Rick, Big Daddy Kane, Heavy D, Biggie, 2Pac, Nas, etc ni real gold?
Hizo heavy gold chains ni symbolic, hazitakiwi kuchukuliwa kama authentic.