Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si muumini wa fake jewelry au vito kwa ujumla lakini swali langu kwako kama wanaweza tundika vito fake inakuwaje kwenye magari waliyo nayo?
Inategemea na unaongelea nani.

Kuna watu wengi kwenye hip hop wanatumia magari ya kukodi.

Pia, mimi sisemi kwamba hip hop stars hawana hela za kununua magari au vito vya thamani.

Nasema kwamba, kwenye hip hop mtu kuvaa fake gold si kitu cha ajabu, hawa big stars wote ama at one point wamevaa, ama bado wanavaa.

Kuna mi chain fulani ukiiangalia unaona kabisa hii ni gold plated, kwa sababu ingekuwa real gold ingekuwa mizito sana.

 
Baada ya kumsagia kunguni akose tuzo, sasa mnamsagia kunguni ili afe kwa kisutwa kizaramo
 
Kama kawaida kunya anye kuku akinya bata kaharisha. Mwacheni sadala aenjoy kama kimasomaso keshawatoa!

Haya kuhusu hayo macheni kwenye ile clip ya studio ya busta rhymes iangalie vizuri kuna yule 'hitmaka' aliyechezesha mzigo wa macheni. Sasa niambie kati ya yule na sadala nani kavaa macheni mengi? Ila kwa yule sawa tu!
 

Shida yetu tunashadadia kila kitu kikifanywa na wanyamwezi! Mwenzetu akijaribu hatutaki, tunona kakosea au tunaona wivu.


 
Shida yetu tunashadadia kila kitu kikifanywa na wanyamwezi! Mwenzetu akijaribu hatutaki, tunona kakosea au tunaona wivu.


View attachment 1843839
Waswahili wanasema "Kikulacho ki nguoni mwako".

Waingereza wanasema "Familiarity breeds contempt".

Ukimjua sana mtu, unapoteza kumheshimu.Na watu wa karibu ndio wanaoleta matatizo.

Watu wa nje ya Tanzania wanamzimikia sana Diamond kuliko wabongo, pengine hawamsomi sana kwenye magazeti yao kila siku.

Sasa hao Wanyamwezi hatuwajui vizuri, huyu mtoto wa Tandale tumemuona tangu anakua tunamjua vizuri, kwa hivyo heshima inapungua kidogo.
 
Kweli kabisa
 
Tatizo feki
 
Shida meko na makonda
 
Mwenzio yupo US wewe upo insta hamuoni kwamba mnatakiwa kupimwa akili? Nauli ya kwenda na kurudi tu US kwenu ni mtaji. Wabongo tafuteni shughuli ya kufanya kuliko kufuatilia maisha y watu
Wala sio mtaji ml3.7 kwenda Usa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…