Very interestingNdani ya Wasafi Fm Diamond Platnumz ameibua vipaji vingi sana na amefanikiwa kuajiri watu wengi ambao wanalipwa vizuri tu kama wakina Kumwembe, Kitenge na wengineo.
Lakini sijui kama Diamond ashawahi kukaa chini akafuatilia kazi anazozifanya huyu kijana wake Mtiga Abdallah pale Wasafi Fm.
Ni kijana mdogo sana lakini ana kipaji cha ajabu, ameanza kujizolea umaarufu kutokana na kipaji chake cha kusimulia hadithi za kusisimua.
Hiyo ni video mojawapo ya kazi anazofanya huyu kijana japo hushirikiana na wengine kuandika na yeye huadithia lakini ana kipaji cha pekee sana.
Ni muda sasa kwa Chibu kumuangalia kwa jicho la pili huyu kijana la sivyo media nyingine watampandia dau.
Sasa kwanini upo hapa?Simjuwi na sifatiliagi mambo hayo
Kwani media zingine zikimpandia dau kuna ubaya?Ndani ya Wasafi Fm Diamond Platnumz ameibua vipaji vingi sana na amefanikiwa kuajiri watu wengi ambao wanalipwa vizuri tu kama wakina Kumwembe, Kitenge na wengineo.
Lakini sijui kama Diamond ashawahi kukaa chini akafuatilia kazi anazozifanya huyu kijana wake Mtiga Abdallah pale Wasafi Fm.
Ni kijana mdogo sana lakini ana kipaji cha ajabu, ameanza kujizolea umaarufu kutokana na kipaji chake cha kusimulia hadithi za kusisimua.
Hiyo ni video mojawapo ya kazi anazofanya huyu kijana japo hushirikiana na wengine kuandika na yeye huadithia lakini ana kipaji cha pekee sana.
Ni muda sasa kwa Chibu kumuangalia kwa jicho la pili huyu kijana la sivyo media nyingine watampandia dau.
Naona amekutuma umpigie upatu eeNdani ya Wasafi Fm Diamond Platnumz ameibua vipaji vingi sana na amefanikiwa kuajiri watu wengi ambao wanalipwa vizuri tu kama wakina Kumwembe, Kitenge na wengineo.
Lakini sijui kama Diamond ashawahi kukaa chini akafuatilia kazi anazozifanya huyu kijana wake Mtiga Abdallah pale Wasafi Fm.
Ni kijana mdogo sana lakini ana kipaji cha ajabu, ameanza kujizolea umaarufu kutokana na kipaji chake cha kusimulia hadithi za kusisimua.
Hiyo ni video mojawapo ya kazi anazofanya huyu kijana japo hushirikiana na wengine kuandika na yeye huadithia lakini ana kipaji cha pekee sana.
Ni muda sasa kwa Chibu kumuangalia kwa jicho la pili huyu kijana la sivyo media nyingine watampandia dau.
bwana mdogo mtiga ww bado sanaNdani ya Wasafi Fm Diamond Platnumz ameibua vipaji vingi sana na amefanikiwa kuajiri watu wengi ambao wanalipwa vizuri tu kama wakina Kumwembe, Kitenge na wengineo.
Lakini sijui kama Diamond ashawahi kukaa chini akafuatilia kazi anazozifanya huyu kijana wake Mtiga Abdallah pale Wasafi Fm.
Ni kijana mdogo sana lakini ana kipaji cha ajabu, ameanza kujizolea umaarufu kutokana na kipaji chake cha kusimulia hadithi za kusisimua.
Hiyo ni video mojawapo ya kazi anazofanya huyu kijana japo hushirikiana na wengine kuandika na yeye huadithia lakini ana kipaji cha pekee sana.
Ni muda sasa kwa Chibu kumuangalia kwa jicho la pili huyu kijana la sivyo media nyingine watampandia dau.
Kwa sababu gani?hehe kajinyonge
Saaana yani.Dogo muongo sana huyu.
Ananius namkubali sana anatisha.kwani mtiga abdallah na annanius edger nan mkali