Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Standard seven au sioHuwezi nielewa maana ni jamii ya la saba B
Mbona watu ndio wanakimbilua huko aliko, nani tena atamuondoa hapo?
[/QUOTE kwel kabisa
Ndani ya Wasafi Fm Diamond Platnumz ameibua vipaji vingi sana na amefanikiwa kuajiri watu wengi ambao wanalipwa vizuri tu kama wakina Kumwembe, Kitenge na wengineo.
Lakini sijui kama Diamond ashawahi kukaa chini akafuatilia kazi anazozifanya huyu kijana wake Mtiga Abdallah pale Wasafi Fm.
Ni kijana mdogo sana lakini ana kipaji cha ajabu, ameanza kujizolea umaarufu kutokana na kipaji chake cha kusimulia hadithi za kusisimua.
Hiyo ni video mojawapo ya kazi anazofanya huyu kijana japo hushirikiana na wengine kuandika na yeye huadithia lakini ana kipaji cha pekee sana.
Ni muda sasa kwa Chibu kumuangalia kwa jicho la pili huyu kijana la sivyo media nyingine watampandia dau.
Kapigwa chini kwa ulevi wakati wa Kazi pamoja na kuvimba Sana na kujiona mkubwa tetesi ndio zinasema hivyo.yuko wapi Siku hizi📢📢📢📢📢
Wasafi walimfukuza baada ya kwanza kulewa Sana akiwa kazini,kuvimbaMajizo kashafanya yake.
Unasema!Mbona watu ndio wanakimbilia huko aliko, nani tena atamuondoa hapo?