Diamond Platnumz kuwa macho sana na Mtiga Abdallah

Diamond Platnumz kuwa macho sana na Mtiga Abdallah

Ananias Edgar yuko vizuri zaidi... Napenda anavyochanganya utani kidogo kwenye masimulizi yake...hachoshi kusiliza
 
Mshahara mnono wanaolipwa kina Kumwembe na Kitenge ndio Tsh ngapi? Unaweza Ukasema Monono kumbe analipwa 1m per Month.
 
Wote wanaomkubali huyu jamaa ni simply kwamba hawana knowledge ya matukio au historia sahihi. Ni ile jamii ya makonda au bodaboda ambao hawajui kutumia idhaa za kimataifa au majukwaa yaliyo well established katika historia.

Zile stori za sijui ndege iliyopotea na kurudi miaka 30+ ikiwa na watu, hizo stori wanaoziamini tu ndo wanamkubali. Ukisoma Wikipedia, Vintage News, BBC archives na makala za maana huwezi kuja kumsifia huyu simply ni kuwa anatia chumvi na anapenda conspiracy theories ambazo pia anafeli namna ya kuziwasilisha maana anazileta kwa kumwaminisha msomaji kwamba hicho kitu ni sahihi.

Na anapenda sana repetition, utasikia mfano story ya Mandela kila mara anasema "Mandela bwana akafungwa, alipokuwa gerezani bwana Mandela akaugua, mzee Mandela kipindi hicho kijana akatoa mzee". Nisameheni mi simwonei wivu ni mtazamo wangu tu
 
kwani mtiga abdallah na annanius edger nan mkali
Kwa mujibu wa akili timamu niliyonayo mm naona wote wana gentle voice, ila Ananias Edgar has a great talking voice I could listen to him talk about anything lol
 
Wote wanaomkubali huyu jamaa ni simply kwamba hawana knowledge ya matukio au historia sahihi. Ni ile jamii ya makonda au bodaboda ambao hawajui kutumia idhaa za kimataifa au majukwaa yaliyo well established katika historia. Zile stori za sijui ndege iliyopotea na kurudi miaka 30+ ikiwa na watu, hizo stori wanaoziamini tu ndo wanamkubali. Ukisoma Wikipedia, Vintage News, BBC archives na makala za maana huwezi kuja kumsifia huyu simply ni kuwa anatia chumvi na anapenda conspiracy theories ambazo pia anafeli namna ya kuziwasilisha maana anazileta kwa kumwaminisha msomaji kwamba hicho kitu ni sahihi. Na anapenda sana repetition, utasikia mfano story ya Mandela kila mara anasema "Mandela bwana akafungwa, alipokuwa gerezani bwana Mandela akaugua, mzee Mandela kipindi hicho kijana akatoa mzee". Nisameheni mi simwonei wivu ni mtazamo wangu tu
Ni wivu tu
 
Ni kweli ana kipaji kikubwa, pia kuna jamaa anaitwa Tamimu Adam , anasomaga habari pale Clouds nae yupo vizuri sana...
 
Back
Top Bottom