Diamond Platnumz na Ali Kiba wakutana mubashara kwenye msiba wa Masogange na kupeana mikono

Hao ni Icon ya mziki wa Kimarekani na siyo wa Kitanzania ukiwasema hao akina Tx Moshi, Mbalaka, Bitchuka, Ngurumo n.k. utawaitaje?
Kina Tx, Mbaraka et al ni kweli wamefanya sehemu yao katika historia ya muziki wa Tanzania. Hakuna atayepinga hilo hata siku moja.
Mziki wanaofanya kina Diamond na Ali Kiba na wenzao wengi umevuma zaidi na kuvuka mipaka ya nchi yetu.
Mbali na kutuburudisha watanzania unawaburudisha pia mataifa mengine. Pia mziki umeanza kuwalipa vijana kuliko hapo awali. Wanapata tuzo za kimataifa na hata kutambulika kimataifa kiasi cha kuitangaza Tanzania kupitia mialiko jama ya AFCON, Kombe la dunia na matamasha mengi nje ya Tanzania.
Kwa sasa hawa ndio ma icon wetu kubali ukatae.
 
Kwa kwetu Mtwara mtu akikushika kwa mikono yote miwili tafsiri yake ni heshima kubwa sana,kutotoa kiganja kunakuja kutoka na dharura labda umelowa,mchafu,etc so badala yake anakuonyesha heshima kwa kukushika na mkono wa pili......Ila nimeamini Diamond alivyosema yeye ana content kubwa sana,kabadili upepo wa msiba sasa hivi mjadala umekuwa hilo tukio tih tih tih tih..
 
Unazungumzia ule mziki wa Mwanaume kuimba "mume wangu ni mulevi ananuka pombe"
Wewe unataka kuleta ubishi wanasanii gani hao wanaimba nyimbo hata mwezi hauishi unakuwa umefubaa hamu ya kuusikiliza huna, kasikilize nyimbo za hao wakongwe hadi Leo zinavuma na kupendwa.
 
Mkuu, hivi mtu akikupa mkono mmoja na wewe ukampa miwili ina maanisha Nini? Punguza mihemko
 
[emoji121]
MKUU,

ACHA UJINGA,

KWANI AKIMSALIMIA AKIWA AMEKAA INATENGUA SALAM?

MBONA HAKUNA TATIZO LOLOTE HAPO!!!

BICHWA KA' TOFALI!!!
[emoji124] [emoji469] [emoji469] [emoji469]
 
Wewe unataka kuleta ubishi wanasanii gani hao wanaimba nyimbo hata mwezi hauishi unakuwa umefubaa hamu ya kuusikiliza huna, kasikilize nyimbo za hao wakongwe hadi Leo zinavuma na kupendwa.
kwa tatizo liko wapi sheikh wangu,basi we endelea tu kuskiliza mziki wa hao wakina marijani...
 
mbona maalim seif aligoma kumpa mkono dr. ni ikawa barida tu hata hawa wangegomeana safi tu ila shukran wameonyesha uanaume
 
Dunia mapito ndo maana wanapeana mkono moja watalala mavumbini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…