Diamond Platnumz na Ali Kiba wakutana mubashara kwenye msiba wa Masogange na kupeana mikono

Kweli msiba huunganisha watu na hasa maadui ,naona kwa mara ya kwanza tokea mwezi wa pili Millard ayo kupitia youtube acc yake kamaposti Diamond.
 
From 'body language' point of view...

DIAMOND PLATZ: ''Bro, tuyamalize. Beef sio mzuka. Naomba peace kaka. ''

KIBA THE KING: ''Aah umeomba poo eeh. Okay dogo, nitafikiria ombi lako.''

DIAMOND PLATZ: ''Daah thanks sana bro. Nimefurahi kukuona.''

KIBA THE KING: ''Poa ''.

MY TAKE... Hawa Wamanyema wala hawanaga any beef. Wanacheza tu na akili za fans wao ili waendelee ku-maximize fame mileage... to keep swingin' in limelight. Waswahili hamnaga dogo.

-Kaveli-
 
kuweka mikiono miwili ni ishara ya heshima ....huwa nafanya sana kuashiria ukarimu na upendo
Ukiangalia kwa makini hapo Domo kama kalazimisha kupewa mkono na Ali Kiba,

Maana Ali Kiba anaonekana hataki kushikana mkono ila Domo anafurahia kupeana mkono na Ali Kiba,

Japo mimi ni mmoja wa shabiki wa Ali Kiba lakini ukweli ndo huu, ALI KIBA ANALAZIMISHA MASHABIKI TUAMINI KWAMBA ANABIFU NA DOMO, Binafsi nilikuwa naamini kwamba mashabiki ndo tulikuwa tunaona wana bifu lakini wenyewe wapo na maelewano mazuri ila kwa hii picha inaonyesha Kiba analazimisha Domo awe na bifu nae
 
Mimi ni Team Kiba ila sipo kwenye tabia ya hao unaowataja, ukweli ni kwamba kwenye hiyo picha Ali Kiba anaonekana anataka Beef na Domo,

Wakati Domo anataka Amani
Umeona.
Hata kwa nguvu lazima amani ipatikane.
[HASHTAG]#simba[/HASHTAG] umenikosha.
 
Binaadamu hamna jema, khaaaa!!!
Angesimama bado mngesema kasimama upande.
 
Kwani Hujui Yeye Ni Kaka Kwa Diamond?Wewe Ukiwasalimia Wakubwa Zako Huwaga Wananyanyuka?
Kunyanyuka Ni Ishara Ya Heshima Kwa Wakubwa Au Washkaji Zako
Acha Majungu Kijana Mwenzangu
Afadhali umetumia kichwa kufikiri.
 
leta pia majibu ya mkono wa ali k mbona kama kautoa kama mtu anaye hisi kinyaa?
Mtoto wa kiume acha majungu, mbona kampa mkono kiheshima kabisa tena kamshika na mikono yote miwili ikidhihirisha nidhamu
 
Hahahaaaa domo kwa kupenda kugawa habari hajambo.najua insta leo sio msiba tena bali hili tukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…